Haki ya nani vile!!!!!!afu cha kushangaza ushabiki tunaokuwa nao hauna maana coz hizo timu au wachezaji hawana hata aware kuwa kuna mtu amegoma kulala kwa ajili yao,we unakesha unalia wenzio wakitoka hapo wanaenda kula raha kwenye maclubs milioni milioni za mshahara zipo pembeni zinawasubiri wakimaliza hapo wanaenda kuutitika usingizi weeee,we upo macho hayooooo yamekuwa mekundu umekosa usingizi kisa timu imefungwa daaaaahhhhh!!!!!!
Au wale wapenzi wa tamthilya[na mi mmoja wao]ukiona mamain karaktas ie maheroes au wapenzi wamekosana,au sehemu ilipoishia ni kali ya kukuweka roho juu juu,usiku mzima hulali unawazaa sijui kesho itakuwaje,roho inkuuma weeeee wakati wenzako wamemaliza casting siku nyingi na wakati huo wanakula bata au matunda ya kazi zo hhhaaaaaaa yaani huu ushabiki,mi sa hivi nimepunguza ushabiki wa kihivyo baada ya kutafakari na kuona ni kupoteza muda tu!!!!!