chagua mpira!
kwa kuwa wewe hufai kuwa mume wa mtu!hapo umesema ndio umeanzisha uhusiano, mkifunga ndoa si ndio itakuwa balaa!
unajua, washauri wa mambo ya ndoa wanashauri kijana aoe akiwa amefikia umri fulani hivi, la sivyo ni matatizo tu.samahani mzee, una umri gani, kama chini ya miaka 28 tafadhali mwache dada wa watu atafute mwingine. kama umri umevuka huo basi hufai kuwa mume tena mume wa kisasa, chagua mpira....
kwa kuwa wewe hufai kuwa mume wa mtu!hapo umesema ndio umeanzisha uhusiano, mkifunga ndoa si ndio itakuwa balaa!
unajua, washauri wa mambo ya ndoa wanashauri kijana aoe akiwa amefikia umri fulani hivi, la sivyo ni matatizo tu.samahani mzee, una umri gani, kama chini ya miaka 28 tafadhali mwache dada wa watu atafute mwingine. kama umri umevuka huo basi hufai kuwa mume tena mume wa kisasa, chagua mpira....