May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Hivi karibuni kulikuwa na changamoto iliyojitokeza na kukwamisha shughuli za Watu wengi kwa kukosa umeme.
Shirika la Umeme na Kampuni za Simu/Watoa huduma za Luku, waanzishe Bima ya token/unit ambapo Wateja watakuwa wananunua unit(token) za akiba zitakazohifahiwa kwenye akaunti zao na pindi itakapotokea changamoto kama iliyojitokeza basi Mteja atatumiwa hizo token zilizohifadhiwa na kuzitumia.
Na baada ya changamoto kutatuliwa basi Mteja atanunua tena Bima(kifurushi) na kuhifadhiwa kusubiri wakati mwingine.
Bima inaweza kuhuishwa kila baada ya miezi sita au mwaka, au kutokana na makubaliano yaani Mteja ataamua apewe token zake aanze upya baada ya mwaka, au aziache kwenye akaunti.
Shirika la Umeme na Kampuni za Simu/Watoa huduma za Luku, waanzishe Bima ya token/unit ambapo Wateja watakuwa wananunua unit(token) za akiba zitakazohifahiwa kwenye akaunti zao na pindi itakapotokea changamoto kama iliyojitokeza basi Mteja atatumiwa hizo token zilizohifadhiwa na kuzitumia.
Na baada ya changamoto kutatuliwa basi Mteja atanunua tena Bima(kifurushi) na kuhifadhiwa kusubiri wakati mwingine.
Bima inaweza kuhuishwa kila baada ya miezi sita au mwaka, au kutokana na makubaliano yaani Mteja ataamua apewe token zake aanze upya baada ya mwaka, au aziache kwenye akaunti.