Teacher1
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 333
- 149
Kutokana na kuongezeka kwa kesi zinazokataliwa dhamana katika mahakama zetu na kulazimisha watu kukaa mahabusi kwa muda mrefu kwakisingizio cha eti hakimu yupo likizo, taasisi za serikali kuzembea zenyewe kama hii tume ya mawasiliano inayoruhusu simu zisizosajiliwa kutumika halafu wanaanzusha Sheria ya kushitaki na kufunga watu watakaokutwa namakosa. Inaonyesha baada ya muda kila mtu atataka kufunga watu kwa vile wafungwa wanagharimiwa na serikali. Napendekeza watu watakao funga wenzao kwamakosa ya kibinafsi na uzembe wawagharamie wafungwa wao kwa kuwalipia malazi na chakula, ni wazo langu naomba tuchambue