Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,275
Habari za muda huu wana JF

Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...

Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....

Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!

Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO

Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....

Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.

Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!

Karibuni kwa huu mjadala
 
Haha inachekesha lakini ni sense, shikamoo ni utumwa tu mimi pia siipendi "shikamoo" na kwakuipinga nimeshaanza kutoka nyumbani ninapoishi wazee nawasalimia kwa nyakati na salamu zingine kama mambo, vipi, za uzima n.k

#Shikamoo ni kelele tu
 
Haha inachekesha lakini ni sense, shikamoo ni utumwa tu mimi pia siipendi "shikamoo" na kwakuipinga nimeshaanza kutoka nyumbani ninapoishi wazee nawasalimia kwa nyakati na salamu zingine kama mambo, vipi, za uzima n.k

#Shikamoo ni kelele tu
Hahahahaha
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
 
Utumwa
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Hivi kwelii mtu kama le mutuz le kibamiazz unamshika miguu kwelii jomoniii😫😫😫si utapata baraka za kuvuna vibamia tuu mwaka mzima,.kha!!!
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
hatari sana izi heshima na imani za kale, kwa maana hiyo sasa tusipotoa au kupokea shikamoo ina maana atupewi baraka na mema kwa wakubwa zetu?
 
Shikamoo humaanisha hivi...nipo chini ya miguu yako, mimi si lolote kwako, sina thamani juu yako, nakutukuza, unachoagiza kwangu kutekeleza ni wajibu, mimi ni dhaifu kwako, ukitaka kunipiga nipige tu hata siwezi kujitetea kwako mkuu nk.
Kwa muktadha huu inabidi shikamoo ihifadhiwe maktaba ya Taifa.
 
Iwekwe makumbusho tu!
Shikamoo humaanisha hivi...nipo chini ya miguu yako, mimi si lolote kwako, sina thamani juu yako, nakutukuza, unachoagiza kwangu kutekeleza ni wajibu, mimi ni dhaifu kwako, ukitaka kunipiga nipige tu hata siwezi kujitetea kwako mkuu nk.
Kwa muktadha huu inabidi shikamoo ihifadhiwe maktaba ya Taifa.
 
Bosi wangu ilikuwa nikimsalimia shikamoo anaitikia safi, nikaja kugundua hapendi hiyo salamu na toka siku hiyo kama ni asubuhi namwambia shikamoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom