Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,275
Habari za muda huu wana JF

Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...
Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....
Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!
Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO

Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....
Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.
Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!
Karibuni kwa huu mjadala



Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...
Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....
Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!
Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO


Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....
Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.
Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!
Karibuni kwa huu mjadala

