KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,709
- 4,430
Hicho kipindi mtakiitaje vile?.
Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.
Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.
Si unajua tena mwanamke akikuzidi kimo na shughuli huyo ni mama🤣🤣🤣Mh.Rais nisikilize usinichoke
Mkwere alitumia muda wake mwingi kujimwambafai tu na kujikosha!!
Mzee wa ruksaHicho kipindi mtakiitaje vile?.
Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.
Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.
Mkwere alienda kujitetea kwa nguvu zote!Mzee alileta faraja msibani Kwa kweli.Anastahili pongezi. Kwa upande wangu Mkwere alizingua.
Yani sina shaka na Mzee wetu kabisa kwanza ni mcheshi so siwezi kuwa bored wakati napata busara zake huku na cheka badala ya masaa matatu ya kuwa serious tu na skiliza.Ndani ya hayo Masaa yako Matatu ni kwamba Masaa mawili na dakika 45 ataongea Pumba tupu na hizo dakika 15 ndiyo atabahatisha tu Kuongea Madini ( ya maana ) je, utakuwa tayari Kuvumilia na Kufurahia hili?
????!!!!!!Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.
Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.