Nashauri Mzee Mwinyi apewe nafasi kuzungumza kwenye vyombo vya habari

Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.

Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.

Mwinyi akikubali mpongeze kwakuwakatalia wale jamaaa kuja kuwa Rais wa Tz
 
Kwanini asijimwambafai wakati mpaka leo yeye 2 sisi bila bila

Mshauri wake wa Uchumi ndio VP, Waziri wake wa Muungano ndio President, PM alikuwa DC wake na baadae Naibu Waziri wake;

Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu wa awamu hii wote waliteuliwa kwa mara ya kwanza na Jk hadi JPM akawaona

ungekuwa Wewe usingejimwambafai?

Mkwere alitumia muda wake mwingi kujimwambafai tu na kujikosha!!
 
Mi sahivi nimemzidi mama kimo, nataka tukae kikao tubadilishe jina afu mzee mwinyi katisha anasahau watoto wake lakini hamsahau mke wake
 
Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.

Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.

Ndani ya hayo Masaa yako Matatu ni kwamba Masaa mawili na dakika 45 ataongea Pumba tupu na hizo dakika 15 ndiyo atabahatisha tu Kuongea Madini ( ya maana ) je, utakuwa tayari Kuvumilia na Kufurahia hili?
 
Ndani ya hayo Masaa yako Matatu ni kwamba Masaa mawili na dakika 45 ataongea Pumba tupu na hizo dakika 15 ndiyo atabahatisha tu Kuongea Madini ( ya maana ) je, utakuwa tayari Kuvumilia na Kufurahia hili?
Yani sina shaka na Mzee wetu kabisa kwanza ni mcheshi so siwezi kuwa bored wakati napata busara zake huku na cheka badala ya masaa matatu ya kuwa serious tu na skiliza.
 
Wakuu natumai mmeshinda salama, najuwa wengi mko busy na mchakato mzima wa VP na mstakabali wa Taifa letu. Ila ni pendekezo tu kwanini vyombo vya habari kama TBC kwa kipindi hichi cha Maombolezo wasimkaribishe Mzee Mwinyi atuambie mawili matatu wampe hata masaa 3 na amini ana mengi ya kutuambia.

Hili wazo limekuja baada ya kuona kwenye msiba walimkatisha apewe mda wake atupigie story kidogo.
????!!!!!!
 
Back
Top Bottom