sasa Lema ana busara?
tatizo hawamjui lemaHebu ajibu.. Dah.. Kakurupuka huku
Ana ElimuMwenyekiti wako ana busara?
Ana Elimu
Gambo awe waziri mkuu? Uyu anaepigania wanawake? Mnafiki mkubwa uyu aliemchongeza mkuu wa mkoa mpaka akatenguliwa?
Kiujumla Gambo ajawai kufanikiwa sehemu yoyote kwenye maisha yake,zaidi ya kupandikiza chuki na majungu.
Hoja yangu ipo hapo eti hajawahi fanikiwa sehemu yeyote
Yaani kwakweli Lema abadilike,aache kutenda zaidi kwa mdomo aonyeshe walau vitendo.Hatusemi atoe hela mfukoni asaidie maendeleo Lakini ajaribu kuwa karibu na w/nchi na kusikiliza kero zao,ili 2020 iwe rahisi kushinda.Lakini hii kuja kukurupuka mwishoni na visingizio kibao itakuja kumcost.Msimu ulioisha alisingizia hakua na madiwani,haya tumempa madiwani wa kutosha ashindwe mwenyewe...Ukombozi kama ni wa kisiasa haubaki hivo hivo kama hamna juhudi za kuulea
Ana watoto wawili, mke, Masters, alikuwa mkuu wa wilaya sasa mkuu wa mkoa. Ana Masters pia... Yaani hajawahi fanikiwa??? Ngoja nikalale
ndio anayoJibu swali kwanza.
Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Ukweli utamuweka huru. Kudos MkuuYaani kwakweli Lema abadilike,aache kutenda zaidi kwa mdomo aonyeshe walau vitendo.Hatusemi atoe hela mfukoni asaidie maendeleo Lakini ajaribu kuwa karibu na w/nchi na kusikiliza kero zao,ili 2020 iwe rahisi kushinda.Lakini hii kuja kukurupuka mwishoni na visingizio kibao itakuja kumcost.Msimu ulioisha alisingizia hakua na madiwani,haya tumempa madiwani wa kutosha ashindwe mwenyewe...
Wapi molabani alitoa hela sana mwisho akaupigiza.Tutachagua chadema hata kama lema atakufa leoHana lolote hata upinzani uweke jiwe,litashinda tu, ajiulize yule aliegombea na Lema, pamoja na kumwaga hela tumempiga chini,
Wewe naona umelivamia jukwaa la siasa kwa taarifa yako Arusha hatuna kabisa haja na ccm na kamwe hatutaichagua ccm daima dumu.....HATUTAICHAGUA CCM KAMWEHakuna Chama chenye hati miliki na Jimbo.
Lowassa ndio aliwaponza ccm kwa kumhujumu Mrema aliekuwa Mbunge na kummbeba Demu wake Batlda kuwa Mgombea
Wachaga wakachukia wakampa Lema kwa hasira japo alikuwa hapendwi maana hana siifa za kuwa Mbunge
Ccm bado wakajichanganya tena wakampa Monaban Maasai wakati wanajua Uchumi wa Arusha umeshikwa na Wachaga.
na hali ya mabadiliko ya kiasiasa yalivyokuwa basi Lema alikuwa hana namna lazima ashinde
ccm wakizinduka wakajipanga vizuri wakaja na Mgombea anaetokea Mgombani mweye akili na maarifa wale wanya viroba hawana namna .
Labda Lema abadilike sana japo siku hizi ameanza kubadilika kuanzia michango yake Bungeni nk.
huo ndio ukweli mchungu wewe Chariiii ya ARA
Mimi ni mwana Arusha na nimeshiriki mara zote kwenye uchaguzi nakuhakikishia ccm Arusha ni bendera tu zimebakiaWewe kama nani? Kura watapiga wana Arusha.