Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Wacha kujitoa Akili wewe mimi mwenyewe nipo Arusha ccm ilisha jifia na inaendelea kuozaNipo Arusha na nazunguka sana Kwa machalii. Mh Lema asipokuwa makini hili Jimbo linaondoka
Wacha kujitoa Akili wewe mimi mwenyewe nipo Arusha ccm ilisha jifia na inaendelea kuozaNipo Arusha na nazunguka sana Kwa machalii. Mh Lema asipokuwa makini hili Jimbo linaondoka
2020 mwisho wa matapeli wote wa siasa tunaingiza damu mpya ambao wanajua kuwatumikia wananchi. LEMA kwaheri Arusha bunge utaiona kupitia TVMimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Umakini wa Gambo ni upi?Sijawahi ipenda CCM. Ninasema haya Kwa mapenzi mema kabisa. Mbunge na Madiwani wa Arusha wawe makini. Mh Gambo ni mtu makini na anayejua siasa za kizazi hiki ambacho wagombea wengi wa CCM walikosa Pindi wanapokabiliana na Lema. Gambo anaweza kuwa Lema Mpya Arusha anayetokea upande wa CCM
Endelea kuota, na ukweli ni kwamba ni afadhali mtu mwingine anaweza kuleta changamoto lakini sio Gambo!Hapana sio Kwa zama Hizi... Naiona CCM ikirudi Kwenye mstari
Kweli humji mbunge wako vizurAna uwezo huo sana. Anajiamini sana kama Lema alivo. Wakisimamishwa Kwenye Debate Lema anaweza kosa points.
Gambo hata akisimamishwa na jiwe limevalishwa gwanda la cdm jiwe linashinda asubuhi mapeeeemaaaaaaHapana sio Kwa zama Hizi... Naiona CCM ikirudi Kwenye mstari
Bavicha uvccmLabda Kwenye Kupigana. Mimi ni BAVICHA ila naona Impact yake
Ndio Ukweli huo. Monaban hata mimi ningemshinda.. Haikuwa saizi ya Lema. Kinana anamuandaa Gambo kuja kulirudisha Jimbo lakeHakuna Chama chenye hati miliki na Jimbo.
Lowassa ndio aliwaponza ccm kwa kumhujumu Mrema aliekuwa Mbunge na kummbeba Demu wake Batlda kuwa Mgombea
Wachaga wakachukia wakampa Lema kwa hasira japo alikuwa hapendwi maana hana siifa za kuwa Mbunge
Ccm bado wakajichanganya tena wakampa Monaban Maasai wakati wanajua Uchumi wa Arusha umeshikwa na Wachaga.
na hali ya mabadiliko ya kiasiasa yalivyokuwa basi Lema alikuwa hana namna lazima ashinde
ccm wakizinduka wakajipanga vizuri wakaja na Mgombea anaetokea Mgombani mweye akili na maarifa wale wanya viroba hawana namna .
Labda Lema abadilike sana japo siku hizi ameanza kubadilika kuanzia michango yake Bungeni nk.
huo ndio ukweli mchungu wewe Chariiii ya ARA
Asijisumbue arudi tu alikotoka!Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Sayansi kafanyie lumumba siyo ArushaUpinzani wa kukosoa tu hata penye ukweli ndio utatuangusha. Siasa ni Sayansi
Gambo kwa Arusha ataiona kama nyumba ya sanaa tuSawa mkuu nitazidi kumkosoa mbunge wetu ili aamke
Maneno yenu tushayazoea hayo, mnyika kashinda kibamba bila kufanya chochote na madiwani lukuki, kunasehemu hata ccm wafanye nini hawashindi, ni lini ccm itashinda pemba?Nipo Arusha na nazunguka sana Kwa machalii. Mh Lema asipokuwa makini hili Jimbo linaondoka
Mbona umeng'ang'ania mara mimi mpenzi wa chadema mara bavicha!!? Kwa taarifa yako ww sio bavicha wala nini, Bavicha wote wanauwakika na safari yao juu ya chadema.Labda Kwenye Kupigana. Mimi ni BAVICHA ila naona Impact yake
Kwahiyo kisehemu kimoja cha mbauda police ndo kinampa gambo matumain.Morombo Hamna kituo cha policKituo cha polisi Morombo Lema alishindwaje?
Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Mh Lema hata kama akiamua kulala nyumbani kwake na huyo Gambo wako akafanya kampeini kamwe hatoweza kupata hata kura 1000 na mh Lema ataibuka kidedeaSawa mkuu nitazidi kumkosoa mbunge wetu ili aamke