Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

Nipo Arusha na nazunguka sana Kwa machalii. Mh Lema asipokuwa makini hili Jimbo linaondoka
Wacha kujitoa Akili wewe mimi mwenyewe nipo Arusha ccm ilisha jifia na inaendelea kuoza
 
Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.

Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.

Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.

Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?

Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.

Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.

Wasalaam,
2020 mwisho wa matapeli wote wa siasa tunaingiza damu mpya ambao wanajua kuwatumikia wananchi. LEMA kwaheri Arusha bunge utaiona kupitia TV
 
Sijawahi ipenda CCM. Ninasema haya Kwa mapenzi mema kabisa. Mbunge na Madiwani wa Arusha wawe makini. Mh Gambo ni mtu makini na anayejua siasa za kizazi hiki ambacho wagombea wengi wa CCM walikosa Pindi wanapokabiliana na Lema. Gambo anaweza kuwa Lema Mpya Arusha anayetokea upande wa CCM
Umakini wa Gambo ni upi?
 
Hakuna Chama chenye hati miliki na Jimbo.

Lowassa ndio aliwaponza ccm kwa kumhujumu Mrema aliekuwa Mbunge na kummbeba Demu wake Batlda kuwa Mgombea

Wachaga wakachukia wakampa Lema kwa hasira japo alikuwa hapendwi maana hana siifa za kuwa Mbunge

Ccm bado wakajichanganya tena wakampa Monaban Maasai wakati wanajua Uchumi wa Arusha umeshikwa na Wachaga.

na hali ya mabadiliko ya kiasiasa yalivyokuwa basi Lema alikuwa hana namna lazima ashinde

ccm wakizinduka wakajipanga vizuri wakaja na Mgombea anaetokea Mgombani mweye akili na maarifa wale wanya viroba hawana namna .

Labda Lema abadilike sana japo siku hizi ameanza kubadilika kuanzia michango yake Bungeni nk.

huo ndio ukweli mchungu wewe Chariiii ya ARA
Ndio Ukweli huo. Monaban hata mimi ningemshinda.. Haikuwa saizi ya Lema. Kinana anamuandaa Gambo kuja kulirudisha Jimbo lake
 
Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.

Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.

Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.

Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?

Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.

Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.

Wasalaam,
Asijisumbue arudi tu alikotoka!
 
Kwani akiwa RC hawezi kuyafanya hayo mpaka awe mbunge. Abaki hapo hapo Rais wa mkoa wa Arusha amchachafye Lema akagombee Ngarananyuki.
 
Nipo Arusha na nazunguka sana Kwa machalii. Mh Lema asipokuwa makini hili Jimbo linaondoka
Maneno yenu tushayazoea hayo, mnyika kashinda kibamba bila kufanya chochote na madiwani lukuki, kunasehemu hata ccm wafanye nini hawashindi, ni lini ccm itashinda pemba?
 
Labda Kwenye Kupigana. Mimi ni BAVICHA ila naona Impact yake
Mbona umeng'ang'ania mara mimi mpenzi wa chadema mara bavicha!!? Kwa taarifa yako ww sio bavicha wala nini, Bavicha wote wanauwakika na safari yao juu ya chadema.
Wewe kaungane na lumumba wenzio, Arusha si lelemama kama ufikilivyo na ndoto zako za mchana kweupee.
 
Mpiga ramli wako kakuingiza chaka!
Mimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.

Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.

Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.

Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?

Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.

Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.

Wasalaam,
 
Sawa mkuu nitazidi kumkosoa mbunge wetu ili aamke
Mh Lema hata kama akiamua kulala nyumbani kwake na huyo Gambo wako akafanya kampeini kamwe hatoweza kupata hata kura 1000 na mh Lema ataibuka kidedea
 
Back
Top Bottom