Nimezaliwa,nimekulia na ninaishi Arusha.
basi usipende kukariri
Well said Chalii angu... Inabidi aamke arifu....Lema kapwaya sana arusha na anatuangusha chadema bora arudi TLP akaungane na Mrema kudili na wafungwa!!! Chyaa...mbunge hana programu yoyote ya maendelea zaidi ya madongo na maandamano!!! Asee Lema, pita ivi chalangu!
Ni Mpenzi wa CDM. Sitaki tupoteze jimbo. Programmu za Mbunge na Baraza la Madiwani alieleweki. Gambo kawekwa hapa kimkakatiWala ww siyo cdm ni ccm ni sisi watu wa kaskazin hatututakaa tuichague ccm kamwe hata kama ccm itatawala hii nchi milele
Kweli ndoto za mchana mbaya Sana.Kama Molabani alishindwa n mahela yake sembuse gambo.Tunaimani na Lema na tutamchagua tuu.Angeachiwa afanye kazi zake kwa uhuru Aruxha ingekuwa mbali zaidi ya hapaMimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Teeeeeeee nacheka kwa dharaaaaauuuuuuuuuuu yaania hapo ni sawa na kumwambia mh Lema asijisumbue na kufanya kampeini maana hata akiwa nyimbani kwake tu tayari ni mbunge kwa kura kibaoMimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Gambo akipata hata kura 1000 basi akachinje mbuzi kwa furahaMimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Hakuna Chama chenye hati miliki na Jimbo.Kivipi,elezea kinagaubaga.
Bado xna walikuja na jeuri zao wakasepa sembuse mboga sorry gamboHapana sio Kwa zama Hizi... Naiona CCM ikirudi Kwenye mstari
Kutumia X badala ya S ni dalili Tosha kwamba haupo Smart. Monaban alikuwa anatumia pesa kushinda. Machalii wanakula tuu. Ila huyu mtumishi mzuri ni zaidi ya pesa. Wananchi wanapenda hudumaKweli ndoto za mchana mbaya Sana.Kama Molabani alishindwa n mahela yake sembuse gambo.Tunaimani na Lema na tutamchagua tuu.Angeachiwa afanye kazi zake kwa uhuru Aruxha ingekuwa mbali zaidi ya hapa
Wewe huwezi kuwa mwana cdm bali sema umeona ukisema kuwa ni mwana ccm uzi wako utadoda tuMimi ni mpenzi wa CHADEMA kwa muda mrefu sasa hapa mkoani Arusha lakini kasi ya huyu kijana Mh. Mrisho Gambo ni kubwa sana na mbunge wetu Lema asipogutuka mapema atakuta mwenzake yupo mbali sana.
Tangu awe Mkuu wa Mkoa amefanya vitu vingi na sensitive sana.
Kukutana na walimu wote, kukutana na waandishi wa habari, kujadili kuhusu utalii na changamoto zake mkoani Arusha, suluhisho la mgogoro wa murieti na ujenzi wa Kituo cha Polisi Kwa Morombo ni baadhi ya mambo machache tu na yanayotia hamasa na kazidi kumjengea umaarufu na imani kwa wana arusha wote.
Yule Mh. Lema ninayemjua sijui yuko wapi kwa sasa. Juzi tu Mh. Gambo kaagiza pesa zilizookolewa kutokana na madiwani kujizidishia zitumiwe kulipia madeni ya walimu. Kama ni hivi CHADEMA itasalimika kweli?
Mrisho Gambo gombea ubunge 2020 ili wapinzani wa jifunze na kurudisha ule ushindani uliopotea kwa muda mrefu.
Arusha tunataka maendeleo sio vurugu tena.
Wasalaam,
Hakuna mwenye muda huo mbovuHata Google huwezi itumia?
Hata akitembea na vimuli muli kwa Arusha hapati hata kura 1000Hii thread ni kwa ajili ya kusafisha Ile iliyomtuhumu kutembea na ving'ora au ???!!!
Hakuna Chama chenye hati miliki na Jimbo.
Lowassa ndio aliwaponza ccm kwa kumhujumu Mrema aliekuwa Mbunge na kummbeba Demu wake Batlda kuwa Mgombea
Wachaga wakachukia wakampa Lema kwa hasira japo alikuwa hapendwi maana hana siifa za kuwa Mbunge
Ccm bado wakajichanganya tena wakampa Monaban Maasai wakati wanajua Uchumi wa Arusha umeshikwa na Wachaga.
na hali ya mabadiliko ya kiasiasa yalivyokuwa basi Lema alikuwa hana namna lazima ashinde
ccm wakizinduka wakajipanga vizuri wakaja na Mgombea anaetokea Mgombani mweye akili na maarifa wale wanya viroba hawana namna .
Labda Lema abadilike sana japo siku hizi ameanza kubadilika kuanzia michango yake Bungeni nk.
huo ndio ukweli mchungu wewe Chariiii ya ARA