Kwanini isiwe alama ya kuzidisha na iwe alama ya kujumuisha kwani hapo uwajani tunajumuisha nini ????Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Km ishu ni kujumlisha mbona kwenye taasisi za elimu na afya za kikristo huwa mnaenda sana na kule kuna misalaba kila kona.Nyie mnaojidai wasomi hamjui hata alama ya jumlisha au Ndy elimu ya kanisani ilivyo kujumlisha mnaweka msalaba poleni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nadhani sisi ndio tunayaleta ila sidhani km wabunifu walikuwa na maana hiyo.Msalaba ni nembo rasmi ya kanisa na wakristo hakuna kanisa lolote lisilo na msalaba.
Hakuna alama ya kujumlisha cross yake iko juu, bali cross ya alama ya kujumlisha ipo kati, na uwelewe kuwa alama huwakilisha utambulisho au maandishi kwa hiyo ktk mawasiliano ya alama huwezi kukurupa msalaba ukasema ni jumlisha utafeli,
Haja katazwa mkristo kuvaa alama za kikristo na muislam kuvaa alama za kiislam, ila tunapofika masula ya taifa, tunacha alama zetu na kuvaa alama ya taifa,
Swali hiyo alama inawakilisha kipi ktk taifa mpaka iwekwe ktk jezi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv kwanza hawa wanaoita wenzao makafiri, wao wana utakatufu gani?...................Kwani wewe alama ya msalaba unaifafanuaje kwa uelewa wako?hiyo habari ya kuanza kuitana kafir hapa iweke pembeni hilo litajulikana tukishaanza kujibiana maswali tutakayoulizana hapa kwamba nani kafir nani siyo kafir?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
It seems like hujui tofauti ya jumlisha na msalaba...Vipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Alama ya kujumlisha upande wa juu na wa chini ipo sawa... msalaba upande wa juu ni mfupi kuliko wa chini.... Sijui kama unaelewa...Hakuna msalaba wa namna hiyo, hiyo Ni alama ya kujumlisha, Narudia Tena Hakuna msalaba wa hivyooo
"Msalaba una alama ya yesu" Aiseeee, tuna safari ndefu sanaHuo ni msalaba au ni alama ya jumlisha kuhalalisha baadhi ya mambo bila kujua athali si vizuri. Mbona Mbona hapo sioni msalaba ninacho ona ni alama ya.jumlisha.msalama una alama ya Yesu.leteni jezi tuvae na Tifa stars oyeeeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambulance haina msalaba, Hivi kumbe kuna kundi kubwa la watu hawajui tufauti ya alama ya kujumlisha na msalaba... AiseeeeeeWewe na hao mnaobishana nao akili zeno zipo nyuma. Ambulance ina msalaba hawalalamiki, mchezaji akiumia wanaoenda kumbeba wamevaa nguo zenye msalaba tim za ulaya zina msalaba na mnazishabikia hadi kuvaa izo jezi mnavaa na kutambiana leo hii jezi ambayo sio official na haitavaliwa na wachezaji mmeanza kuhaji wajinga nyie. Jezi za tstaz zinatengeneza na UHLSPORT KUWENI NA AKILI VICHWA MAJI NYINYI
MOOODS FUTENI IZI MAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinauzwa bei gani?Msalaba siyo issue watu wanataka kuleta mambo ya udini,ni upuuzi wa hali ya juume mwenyewe nimezipenda hzo za msalaba... wanaopinga msalaba wapinge na huduma za msalaba mwekundu, kisanduku cha huduma ya kwanza, wasishabikie barcelona, madrid , england, sweden, etc.
Nenda zako Pemba ukahemewe Kisogoni mwarabu koko weeee. Tazama Yeboyebo zako mguuni na Suruali Kimini Manina weee ujinga umewajaa kichwani hakuna lolote shithole kabisa
You see,wakati anapigwa tano tano kalikuwa kimyaaa. Na pia hakajui hata maana ya matokeo mazuri, simba kafuzu kimahesabu hakuna uzuri wowote kwenye kufuzu kwake.Kasema kufanya vzuri kwa Simba ni matokeo mazuri ya uwekezaji wa miundo mbinu katika awamu ya Tano.
Anyway mkuu, tatizo CCM wanapenda kudandia mambo yenye publicity ili wajitangaze.. hata ule msiba wa ndg .Ruge (R.i.p) ulitumika vby kwa baadhi ya watu.
Hii kitu inarostisha kada ya michezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana kwa umri huo ulio nao huwezi kutofautisha alama ya kujumlisha na msalaba!!...kweli akili zingine minyoo kabisaVipi kama iyo ni alama ya kujumlisha na sio msalaba!!!...Akili zingine minyoo kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataraji leo siku yangu itakuwa nzuri kwa kukutana na ww Chief katika Jukwaa hili.Wapumbavu tu ndio wana muda wa ku debate kuhusiana na hii jezi, hata muislamu mwenye akili zake timamu anayeijua vyema dini yake hawezi kupoteza muda kuhoji stupid stuff kama hizi, ni wale muslims wa uswahilini wenye majungu majungu ndio wanaoibua hoja za kijinga namna hii! Nonsense!