Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Sana. Ila ni wachache sana wanaobahatika kupenda wanapopendwa. Wengi wetu ama tunapenda tusipopendwa au tunapendwa tusipopenda!Amina,
ila kupenda halafu ukapendwa raha sana
Sana. Ila ni wachache sana wanaobahatika kupenda wanapopendwa. Wengi wetu ama tunapenda tusipopendwa au tunapendwa tusipopenda!Amina,
ila kupenda halafu ukapendwa raha sana
Dhambi ni nn????Uliathirika kisaikolojia ulipoumizwa, ndo maana unawashangaa wenzako leo, hata hivyo unajifariji tu, kuumia kuko palepale, sema maumivu yanakuwa ya kiwango cha chini ukilinganisha na ulivyoumizwa 2013, au umeondoka katika ubinadamu yaani unakuwa na mpenzi /mke lakini humpendi na lengo lako umuumize wewe, utakufa ukiwa na dhambi nyingi sana
Hiyo ndo formula ya mapenzi!Sana. Ila ni wachache sana wanaobahatika kupenda wanapopendwa. Wengi wetu ama tunapenda tusipopendwa au tunapendwa tusipopenda!
Yaani inaumiza kweli hii fomula...laiti tungekuwa tunapenda tunapopendwa.....hakika dunia isingekuwa uwanja wa fujoHiyo ndo formula ya mapenzi!
Nahisi shetani anasimamia ukucha pale!
inaumaga umempenda sana mdada halafu anakwambia 'wewe siyo type yangu' teh teh mapenzi nomaaaSana. Ila ni wachache sana wanaobahatika kupenda wanapopendwa. Wengi wetu ama tunapenda tusipopendwa au tunapendwa tusipopenda!
ila wachache waliobahatika hujikuta wanapendana wote mpaka mwisho wa maisha yao.Yaani inaumiza kweli hii fomula...laiti tungekuwa tunapenda tunapopendwa.....hakika dunia isingekuwa uwanja wa fujo
Sana...inaumiza mnoo, usione watu wanajichekesha ukahisi mahusiano yao yako vizuri aaah wapi!Yaani inaumiza kweli hii fomula...laiti tungekuwa tunapenda tunapopendwa.....hakika dunia isingekuwa uwanja wa fujo
Ni shida, watu wanakufa na tai shingoni. Hamna namna maisha lazima yasonge kibishi bishi hivyo hivyoSana...inaumiza mnoo, usione watu wanajichekesha ukahisi mahusiano yao yako vizuri aaah wapi!
Watu wanalia vilio vya ndani ndani
Inabidi utafute furaha nyingine ili iwe mbadala ndo utaweza kurandana na hii dunia!Ni shida, watu wanakufa na tai shingoni. Hamna namna maisha lazima yasonge kibishi bishi hivyo hivyo
Pole sanaWengine tunatafuta mke/mume so njia pekee ni kuendelea kudate hadi umpate unaemhitaji. So katika hiyo process unajikutata unaumizwa.
hamnaKuwa Na pesa
ChaputaSiri ya kutokuumizwa ni .........(nawaza ujinga)
Wote ni mbwa na baba yao ni mmoja[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]tatizo la kuumizwa kila mtu wa jinsia tofauti unamuona mbaya,hapo ndio utasikia mtu anakuambia "wanaume wote ni mbwa" huwa nacheka sana
Wanalilia chooni akitoka humo kanawa uso kabisaSana...inaumiza mnoo, usione watu wanajichekesha ukahisi mahusiano yao yako vizuri aaah wapi!
Watu wanalia vilio vya ndani ndani