themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Udart ina shida ya mabasi ila Raisi analeta Maboss tu ila magari hanunui , Rc Tanga baada ya kuondilewa kaja kupewa Uboss Udart
Nimejiuliza sana huu uteuzi ni wa kusaidia wananchi au mtu kawekwa tu kupooza machungu, hii ndio Tz
Nimejiuliza sana huu uteuzi ni wa kusaidia wananchi au mtu kawekwa tu kupooza machungu, hii ndio Tz