julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,398
- 4,670
Your point?Kumbuka huyu jamaa anaendelea kulipwa mshahra kama aliokuwa akilipwa Bank private , alipoamia TTCL serikalini Kwa kuwa ndio serikali walimtaka obviously alitaka mshahara mkubwa zaidi...TTCl akakunja mshahara mnono...alipopewa ukuu wa mkoa akahama na mshahara wake wa ttcl now yuko Udart kama kule mshahara ni mdogo obviously atalipwa mshahara kama aliokuwa akilipwa TTCl...