IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,011
- 4,165
Nakama nachepuka na nyinyi mnachepuka si ndio😂😂😂 hapo ndio tunarudi palepale likija suala la talaka mnataka 50/50)Mie siwezi mdhihaki mtu Kisa Nini??
Kama unakera unakerwa
Shida kwa nini tushindane...ndani ya nyumba niliyo ijenga mimi