Nashangaa kwa nini watu wanaoana kwa harusi ya gharama halafu wanarudi kupanga!

Mie siwezi mdhihaki mtu Kisa Nini??
Kama unakera unakerwa
Nakama nachepuka na nyinyi mnachepuka si ndio😂😂😂 hapo ndio tunarudi palepale likija suala la talaka mnataka 50/50)

Shida kwa nini tushindane...ndani ya nyumba niliyo ijenga mimi
 
Wamasai , waarusha , wameru , wachagga wakupi msichana wao kama Huna nyumba kabisa fanya research maana kama Huna nyumba unawezaje kulipia mahari hata ng'ombe mmoja ??

Fanya tafiti wanawake wa kaskazini hawanaga time na wanaume wasiojielewa kama utamkuta anao huyo sio ukoo pure meaning mama mfipa , baba mwarusha lazima mtoto aisiwe Masai og ila kama ni wakaskazini Kwa kaskazini tumeona huchukui msichana hivi hivi
Hiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.

Kuna mtu ni muajiriwa either serikalini au kampuni flani, unataka kila anakoenda awe na nyumba yake asipange?. Hilo haliwezekani.

Mfano hapa Arusha vijana wenye sifa ya kuoa na wameoa wake zao wenye asili ya hukuhuku wengi wao tuseme zaidi ya 75% hawana nyumba zao wenyewe walizo jenga, ni either amepanga au anaishi kwenye nyumba inayomilikiwa na familia, taasisi, shirika, serikali n.k, wengi wanajenga wakiwa kwenye ndoa, hivyo ni ngumu kwa vijana wadogo hususani walioko mjini kumiliki nyumba kabla hajao ingawa wapo wachache waliojenga kabla ya kuoa.

Ungesema vijijini ni mhimu kuwa na nyumba kwa kijana kabla ya kuoa hakika hakuna ambaye angeshangaa hilo ila mijini nimezunguka karibu karibu Tanzania yote lakini vijana wengi wa mijini wanaanzia maisha kwenye nyumba za kupanga.

Ukiwa kijijini, ni ngumu kwa kijana ambaye hajaoa amiliki gari kabla ya kujenga nyumba lakini kwa mjini kuwa na gari kabla ya kuitwa baba mwenye nyumba ni suala kawaida sana.
 
Hiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.

Kuna mtu ni muajiriwa either serikalini au kampuni flani, unataka kila anakoenda awe na nyumba yake asipange?. Hilo haliwezekani.

Mfano hapa Arusha vijana wenye sifa ya kuoa na wameoa wake zao wenye asili ya hukuhuku wengi wao tuseme zaidi ya 75% hawana nyumba zao wenyewe walizo jenga, ni either amepanga au anaishi kwenye nyumba inayomilikiwa na familia, taasisi, shirika, serikali n.k, wengi wanajenga wakiwa kwenye ndoa, hivyo ni ngumu kwa vijana wadogo hususani walioko mjini kumiliki nyumba kabla hajao ingawa wapo wachache waliojenga kabla ya kuoa.

Ungesema vijijini ni mhimu kuwa na nyumba kwa kijana kabla ya kuoa hakika hakuna ambaye angeshangaa hilo ila mijini nimezunguka karibu karibu Tanzania yote lakini vijana wengi wa mijini wanaanzia maisha kwenye nyumba za kupanga.

Ukiwa kijijini, ni ngumu kwa kijana ambaye hajaoa amiliki gari kabla ya kujenga nyumba lakini kwa mjini kuwa na gari kabla ya kuitwa baba mwenye nyumba ni suala kawaida sana.
Hata hapa Unique Flower hawezi kukuelewa bado 😆
 
Hiyo ni hadithi ya kusadikika, binafsi nimeoa huko ulikotaja na wakati ninaoa sikuwa na kiwanja achilia nyumba ndo usiseme.

Kuna mtu ni muajiriwa either serikalini au kampuni flani, unataka kila anakoenda awe na nyumba yake asipange?. Hilo haliwezekani.

Mfano hapa Arusha vijana wenye sifa ya kuoa na wameoa wake zao wenye asili ya hukuhuku wengi wao tuseme zaidi ya 75% hawana nyumba zao wenyewe walizo jenga, ni either amepanga au anaishi kwenye nyumba inayomilikiwa na familia, taasisi, shirika, serikali n.k, wengi wanajenga wakiwa kwenye ndoa, hivyo ni ngumu kwa vijana wadogo hususani walioko mjini kumiliki nyumba kabla hajao ingawa wapo wachache waliojenga kabla ya kuoa.

Ungesema vijijini ni mhimu kuwa na nyumba kwa kijana kabla ya kuoa hakika hakuna ambaye angeshangaa hilo ila mijini nimezunguka karibu karibu Tanzania yote lakini vijana wengi wa mijini wanaanzia maisha kwenye nyumba za kupanga.

Ukiwa kijijini, ni ngumu kwa kijana ambaye hajaoa amiliki gari kabla ya kujenga nyumba lakini kwa mjini kuwa na gari kabla ya kuitwa baba mwenye nyumba ni suala kawaida sana.
Haya ilasio Og hupewi mke
 
Jengeni kwanza ndio muoane mtu akifa kwenye nyumba yakupanga mtaishije kama familia iliyokuwa inamtegemea Bora ambao hawana hela Sasa sherehe kubwa unapanga makubwa sherehe iwe ya budget kama Huna Pango hela zingine nunueni uwanja mjengee hii ni aibu
Wewe umejenga??

Kama kujenga ni rahisi hivyo sidhani kama kungekuwa na nyumba zinazopangishwa Tanzania hii.
 
Jengeni kwanza ndio muoane mtu akifa kwenye nyumba yakupanga mtaishije kama familia iliyokuwa inamtegemea Bora ambao hawana hela Sasa sherehe kubwa unapanga makubwa sherehe iwe ya budget kama Huna Pango hela zingine nunueni uwanja mjengee hii ni aibu
hapo sawa nimekuelewa vizuri,,,ntalifanyia kazi
 
Back
Top Bottom