Miss X
Member
- Dec 18, 2010
- 97
- 137
Sijui nianze vipi, lakini kwa ufupi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu sisi wanawake wa tanzania nasema kwa niaba ya wengi tumechoka na mfumo dume.
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi fyuuuuuuuu, mara anti samahani oooooooh ~!@#@$%#@^#&$* tumechoka.Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu.Jamani tumechoka.Tukija katika uchumi, tunadhalishwa sana na hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyingine zimekuwa zikitunyanyapaa na hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni na sisi tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi wa nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Yaani isingalikuwa wabunge wa viti maalimu, wabunge wanawake wangekuwa wa kuhesabu. Mwaka huu na sisi tunataka raisi mwamamke.
Historia ambayo imepindishwa pindishwa kuhusu uhuru wa nchi hii. Wanawake hawatajwi kabisaaaaa. Nauliza: Hivi ni wanaume peke yao ndio waliopigania uhuru wa nchi hii. Ni budi sasa iandikwe upya. Sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi, tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia Usangi mpaka Uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana. Toka uhuru tumekuwa tukipewa ahadi hewa, mnatutumia tu kushida huku mkituachia kanga, tishert , elfu kumikumi na sahani za wali miharagwe, lakini hamtekelezi madai yetu. Mwaka huu nasema hatukubali tena kutumiwa. PATACHIMBIKA
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki. Mahakimu wengi wanaume, wazee wamahakama wengi wanaume, majaji weeeeeeengi wanaume. Tena nauliza toka uhuru mpaka sasa mbona kumekuwa na wasomi wengi wanawake?, mbona hakuna jaji mkuu mwanamke. Ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya yanayousisha wanawake yapelekwe kwenye mahakama zetu, natena nasema na sisi ni raia wa nchi hii.
ONYO :
Tukiwezeshwa tunawezaaaaa
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi fyuuuuuuuu, mara anti samahani oooooooh ~!@#@$%#@^#&$* tumechoka.Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu.Jamani tumechoka.Tukija katika uchumi, tunadhalishwa sana na hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyingine zimekuwa zikitunyanyapaa na hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni na sisi tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi wa nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Yaani isingalikuwa wabunge wa viti maalimu, wabunge wanawake wangekuwa wa kuhesabu. Mwaka huu na sisi tunataka raisi mwamamke.
Historia ambayo imepindishwa pindishwa kuhusu uhuru wa nchi hii. Wanawake hawatajwi kabisaaaaa. Nauliza: Hivi ni wanaume peke yao ndio waliopigania uhuru wa nchi hii. Ni budi sasa iandikwe upya. Sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi, tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia Usangi mpaka Uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana. Toka uhuru tumekuwa tukipewa ahadi hewa, mnatutumia tu kushida huku mkituachia kanga, tishert , elfu kumikumi na sahani za wali miharagwe, lakini hamtekelezi madai yetu. Mwaka huu nasema hatukubali tena kutumiwa. PATACHIMBIKA
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki. Mahakimu wengi wanaume, wazee wamahakama wengi wanaume, majaji weeeeeeengi wanaume. Tena nauliza toka uhuru mpaka sasa mbona kumekuwa na wasomi wengi wanawake?, mbona hakuna jaji mkuu mwanamke. Ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya yanayousisha wanawake yapelekwe kwenye mahakama zetu, natena nasema na sisi ni raia wa nchi hii.
ONYO :
- WANAUME ACHENI WANAWAKE TUDAI HAKI ZETU.
- WANAUME ACHENI BUNGE NA SEREKALI WAFANYE KAZI ZAO PINDI WATAKAPOAMUA KUTEKELEZA MADAI YETU.NASEMA ACHENI KABISA
- MADAI YETU NI YAMSINGI OLE WAKE ATAKAYEYAPUUZIA NA KUKEBEHI
Tukiwezeshwa tunawezaaaaa