ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
mchagua jembe si mkulima... k hazina tofauti... bali matumizi yako tuAcha masiala papuchi zina radha tofauti
mchagua jembe si mkulima... k hazina tofauti... bali matumizi yako tuAcha masiala papuchi zina radha tofauti
Hay ni maamuzi yangu kama utaona yafaa huna budi kuungana na mim
Tunaelekea pazuriNiungane na wewe kuelekea wapi kwa mfano?
Tunaelekea pazuri
Haaaa wewe ibra wewe tofauti ipo kwakweli aah ukisema ladha ni ile ile hapana kwakwelUnachokiacha na kile unachokifuata vyote ladha ni moja.. HESHIMU THAMANI NA HISIA ZA ULIYENAE.
Tunapoenda ni pazuri zaidi. Fuata nyuki ule asaliKwetu pazuri
Wacha ufala na kujishebedua hapa JF wewe, 99% ya watu wana mahusiano na zaidi ya mtu mmoja that's a fact. Huyo mke wako au sijui demu unaemtafuna amesharafunwa na ME wengi mpaka hawakumbuki wewe mwenyewe unaona umepaaata kumbe over used and still watu wanamtafuna. Vice versa is also true wewe mwenyewe Huna lolote mkware uliekubuhu tu. Mimi michepuko na gonga like there is no tomorrow na usipoangalia na demu wako nimempitia dadeki.Hii sababu haitoshi kujustify a man kuchepuka. Personally, I wouldn't dare kuchepuka if am getting everything (peace, happiness, love, conjugal right) toka njia kuu.
Mbona umepanic kwa vitu visivyopanikisha, ushaukwaa nini?Wacha ufala na kujishebedua hapa JF wewe, 99% ya watu wana mahusiano na zaidi ya mtu mmoja that's a fact. Huyo mke wako au sijui demu unaemtafuna amesharafunwa na ME wengi mpaka hawakumbuki wewe mwenyewe unaona umepaaata kumbe over used and still watu wanamtafuna. Vice versa is also true wewe mwenyewe Huna lolote mkware uliekubuhu tu. Mimi michepuko na gonga like there is no tomorrow na usipoangalia na demu wako nimempitia dadeki.
Tunapoenda ni pazuri zaidi. Fuata nyuki ule asali
Utacheputa ma majini bure!!!!Awali ya yote natumai mu wazima.
Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.
Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.
Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?
Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.
Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.
niambie tofauti yake ni ipi?Haaaa wewe ibra wewe tofauti ipo kwakweli aah ukisema ladha ni ile ile hapana kwakwel
mkuu unaonaje ukatuambia ni upi utofauti wake ili na sisi tusioujua tujue?Acha masiala papuchi zina radha tofauti
Ha ha ha! Drooo game!Chepuka tu ili mwenzio pia achepuke usiwe na hofu ,mtatoka suluhu kesi itakua nyepesi