Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Unachokiacha na kile unachokifuata vyote ladha ni moja.. HESHIMU THAMANI NA HISIA ZA ULIYENAE.
Haaaa wewe ibra wewe tofauti ipo kwakweli aah ukisema ladha ni ile ile hapana kwakwel
 
Chepuka tu kwani nani kakukataza faida yake utaipata tu utakapo tendwa na huo mchepuko
 
Hii sababu haitoshi kujustify a man kuchepuka. Personally, I wouldn't dare kuchepuka if am getting everything (peace, happiness, love, conjugal right) toka njia kuu.
Wacha ufala na kujishebedua hapa JF wewe, 99% ya watu wana mahusiano na zaidi ya mtu mmoja that's a fact. Huyo mke wako au sijui demu unaemtafuna amesharafunwa na ME wengi mpaka hawakumbuki wewe mwenyewe unaona umepaaata kumbe over used and still watu wanamtafuna. Vice versa is also true wewe mwenyewe Huna lolote mkware uliekubuhu tu. Mimi michepuko na gonga like there is no tomorrow na usipoangalia na demu wako nimempitia dadeki.
 
Wacha ufala na kujishebedua hapa JF wewe, 99% ya watu wana mahusiano na zaidi ya mtu mmoja that's a fact. Huyo mke wako au sijui demu unaemtafuna amesharafunwa na ME wengi mpaka hawakumbuki wewe mwenyewe unaona umepaaata kumbe over used and still watu wanamtafuna. Vice versa is also true wewe mwenyewe Huna lolote mkware uliekubuhu tu. Mimi michepuko na gonga like there is no tomorrow na usipoangalia na demu wako nimempitia dadeki.
Mbona umepanic kwa vitu visivyopanikisha, ushaukwaa nini?
 
duh kama kigezo ni wingi wa wanawake basi nao wasingekuwa wanachepuka. Bukoba kuna mwanamke wa mtu kafia guest house akiwa na jamaa. Alichepuka nae au kijijini kwao wanaume ni wachache kuliko wanawake?
 
Awali ya yote natumai mu wazima.

Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.

Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?

Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.

Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.
Utacheputa ma majini bure!!!!
 
Mwambie mkeo hayo maamuzi yako akikubali wewe undelea kuchipuka hata ukiupata ukimwi iwe na mkeo amechangia sio tuchangie sisi.
 
Usimpige mkeo pindi atakapoibuka na mahesabu yake kama ulivyofanya wewe na kusema kua kwake michepuko ni inevitable. I hope unajua sahivi ni 50 kwa 50
 
Back
Top Bottom