Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Hii sababu haitoshi kujustify a man kuchepuka. Personally, I wouldn't dare kuchepuka if am getting everything (peace, happiness, love, conjugal right) toka njia kuu.
 
Wewe ni producer mwenzio consumer tafakari utajakufa bure na michepuko
 
Chepuka salama, ukipata tuzo ya Ukimwi utuambie pia tukupongeze.
 
Hii hoja ilitakiwa kuwekwa ktk rasimu ya katiba mpya.turuhusiwe kuoa hata watatu ....
 
Awali ya yote natumai mu wazima.

Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.

Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?

Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.

Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.
Usifie gesti tu. Halafu umpe ma sapu wako mda mgumu kuwaelezea watoto jinsi mshua wao alivyodanchi.
 
Awali ya yote natumai mu wazima.

Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.

Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?

Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.

Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.
mkuu, nakuunga mkono kwa 100%....hakuna jinsi ya kuepuka mchepuko....kuacha kuchepuka ni ubinafsi uliopitiliza. sasa tukiepuka mchepuko hao wanawake wanaozidi ni nani atakayewa-service. mnaokataza michepuko acheni huo uubinafsi wenu wa kijinga.
 
lazima nichepuke tu atake asitake
 
Back
Top Bottom