Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Kulipinga hili ni kuhalalisha usagaji cha msingi ni kuzirudia mila zetu kwa kuwa na ndoa za mitara tu
 
Mungu alisema tupendane na tugawane haki.....mwanamke asiyepewa uroda afanyaje wakati ni haki yake kupewa na kufurahishwa? Wakisagana jamii inakasirika na kuwakejeli, kina Mama jamani turuhusuni waume zenu tujamiane na wenzenu ili tuwanusuru.
 
Kamandiyo tabia yako we komaanayotu usisikilize lamtu ktkt michepuko yako lkn wakati ukiukwaa ndousikilize lamtu
 
Awali ya yote natumai mu wazima.

Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.

Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?

Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.

Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.


Dini ya kiislamu iliona mbali kuruhusu wake wa 4.
 
Mi huwa nimejiandaa na kilakitu, mchepuko ni kama spare tyre , akiwa period,akisafiri ,akikunyima hata dhahma zingine zozote lazima kuwa na option b kwa kilajambo
 
Back
Top Bottom