Nasari ipigiwa saluti (picha)

Nasari ipigiwa saluti (picha)

MASEBUNA

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2011
Posts
243
Reaction score
55
600380_611934008831289_849855716_n.jpg


Kamanda wa police na Kamanda wa Chadema hapo sasa

Babu naye ni kamanda
282836_123155291180243_1845582737_n.jpg
 
Kila mbunge ana haki ya kupigiwa saluti...
 
Kwangu mimi huyu kamanda wa polisi ni shujaa katika taifa hili na anaonyesha jinsi alivyomuungwana kwenye maamuzi ya watanzania wenzie maana mbunge ni zaidi hata ya mkuu wa mkoa anayekuja kwenye kuongoza watu kama jini hajulikani anakotoka wala aendako zaidi ya kubinya demokrasia SAFI SANA ACP wangu hapo upo juu na mungu atakusaidia utakua IGP majambazi yakishatimuliwa maCCM haya
 
Huo ndo ulipaswa kuwa utaratibu wa wabunge wote bila kujali vyama vyao! Wabunge lazima waheshimiwe bila kujali chama chake!
 
Kwangu mimi huyu kamanda wa polisi ni shujaa katika taifa hili na anaonyesha jinsi alivyomuungwana kwenye maamuzi ya watanzania wenzie maana mbunge ni zaidi hata ya mkuu wa mkoa anayekuja kwenye kuongoza watu kama jini hajulikani anakotoka wala aendako zaidi ya kubinya demokrasia SAFI SANA ACP wangu hapo upo juu na mungu atakusaidia utakua IGP majambazi yakishatimuliwa maCCM haya

Kusema Mbunge ni zaidi ya Mkuu wa mkoa ni ishara kuwa watanzania wengi ni mambumbumbu na hawana elimu ya uraia
 
Safiiiiii Kamanda. Watanzania tuko nyuma yako kwa litakalojili kwani baada ya hapa tegemea kupata mashambulizi toka kwa wakuu wako na wenzio wanaojikombo. Mungu akutie nguvu.
 
Kusema Mbunge ni zaidi ya Mkuu wa mkoa ni ishara kuwa watanzania wengi ni mambumbumbu na hawana elimu ya uraia

Najua unataka kusema Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais katika mkoa. Kwa taarifa yako hata Mpishi wa Ikulu ni mwakilishi wa Rais jikoni. Mbunge ndio wananchi wenyewe,ndio maana wanaweza kutunga sheria kuwa kuanzia kesho cheo cha mkuu wa Mkoa kifutwe na kikafutwa. Mamlaka ya nchi hii yako kwa wananchi na Mbunge ndio mwakilishi wao,RC ni mtumishi wa wananchi. Elewa hilo.
 
mbunge hapigiwi salute na si kosa hata hivyo kumpigia salute ila spika hupigiwa kwa kuwa ni mkuu wa mhimili mojawapo na kutompigia salute ni utonvu wa nidhamu
 
Kusema Mbunge ni zaidi ya Mkuu wa mkoa ni ishara kuwa watanzania wengi ni mambumbumbu na hawana elimu ya uraia

Najua unataka kusema Mkuu wa Mkoa ni mwakilishi wa Rais katika mkoa. Kwa taarifa yako hata Mpishi wa Ikulu ni mwakilishi wa Rais jikoni. Mbunge ndio wananchi wenyewe,ndio maana wanaweza kutunga sheria kuwa kuanzia kesho cheo cha mkuu wa Mkoa kifutwe na kikafutwa. Mamlaka ya nchi hii yako kwa wananchi na Mbunge ndio mwakilishi wao,RC ni mtumishi wa wananchi. Elewa hilo.
 
Back
Top Bottom