zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Jamani huyu mgombea wa CHADEMA, nimemsikiliza sasa hivi kupitia TBC analeta mambo kama ya Slaa ya kushusha bei ya cement, huyu anawaambia wananchi msimchaguwe mgmbea wa CCM, minichaguwa mimi bei ya sukari haipandi na itashuka.
Cha kushangaza ni kuwa hasemi itashuka vipi? ana mashamba ya Miwa? ana viwanda vya sukari? atatoa ruzuku kutoka mfukoni mwake?
Mambo mengine ya kushangaza sana.
Cha kushangaza ni kuwa hasemi itashuka vipi? ana mashamba ya Miwa? ana viwanda vya sukari? atatoa ruzuku kutoka mfukoni mwake?
Mambo mengine ya kushangaza sana.