jamani huyu mgombea wa chadema, nimemsikiliza sasa hivi kupitia tbc analeta mambo kama ya slaa ya kushusha bei ya cement, huyu anawaambia wananchi msimchaguwe mgmbea wa ccm, minichaguwa mimi bei ya sukari haipandi na itashuka.
Cha kushangaza ni kuwa hasemi itashuka vipi? Ana mashamba ya miwa? Ana viwanda vya sukari? Atatoa ruzuku kutoka mfukoni mwake?
Mambo mengine ya kushangaza sana.
hanywi huyo ni mdada mmoja mstaarab kweli ukimuona sema anafadhiliwa na magamba kwa kila kituMleta mada uko kwenye club ya Piwa!
Mume wako aliposema kuwa ataleta maisha bora kwa kila Mtanzania alieleza atayatoa wapi?
Acha kuwaza kwa upeo wa pua yako wewe kidakuz!
Hizi ndio siasa zenu za matusi na kejeli tu, badala ya kujibu hoja.Mleta mada uko kwenye club ya Piwa!
Mume wako aliposema kuwa ataleta maisha bora kwa kila Mtanzania alieleza atayatoa wapi?
Acha kuwaza kwa upeo wa pua yako wewe kidakuz!