Nasaka na nauliza

Nasaka na nauliza

mirymicaiah605

Senior Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
107
Reaction score
17
Can i get a hubby material?coz i heard good man are,already taken,other are not yet born other are dead and gone so tell me are they existing???
 
Can i get a hubby material?coz i heard good man are,already taken,other are not yet born other are dead and gone so tell me JF can i get de material guy humu ndani????

nimeota leo kabla cjalala ntamjua my future wife... sa sijui ndo wewe!!!? my drm imekua true
 
Mi material woman bana sio gal ndio kidudu gan kwanza hata kwenye dictionary alipo lol

Kwahiyo unataka kusema mleta uzi kimempitia kando kile kilicholetwa kwa ndege? Maana mimi nime copy and paste
 
Kwahiyo unataka kusema mleta uzi kimempitia kando kile kilicholetwa kwa ndege? Maana mimi nime copy and paste

Yan tena kimempita kushoto uyu unazana ana utofauti na yule wa I find serious gal.....wanakuja kutufurahisha tu umu jamvin mtu ka awez andika kiingeleza si hata kiswahili kipo au kuna sehem imeandikwa lazma waandike kiingeleza umu...
 
Yan tena kimempita kushoto uyu unazana ana utofauti na yule wa I find serious gal.....wanakuja kutufurahisha tu umu jamvin mtu ka awez andika kiingeleza si hata kiswahili kipo au kuna sehem imeandikwa lazma waandike kiingeleza umu...

Hahahaaa yule ndio kiboko zaidi.Kutukojua kama hujui ni tatizo,yeye anaona yupo sahihi ndio maana hawezi fikiria kuandika kiswazi,halafu hili si jukwaa la great thinkers jamani so lazima umwage ung'eng'e kidogo ili uonekane upo
 
Hahahaaa yule ndio kiboko zaidi.Kutukojua kama hujui ni tatizo,yeye anaona yupo sahihi ndio maana hawezi fikiria kuandika kiswazi,halafu hili si jukwaa la great thinkers jamani so lazima umwage ung'eng'e kidogo ili uonekane upo

Mie kwenye post zang sijawah andika english coz naeza ona npo perfect kumbe nmeandka madudu aka mie full kiswahil atakaeniona cjasoma au mi sio great thinker atajijua.....
 
Mie kwenye post zang sijawah andika english coz naeza ona npo perfect kumbe nmeandka madudu aka mie full kiswahil atakaeniona cjasoma au mi sio great thinker atajijua.....

Ndio maana ukaitwa tumboo,maana huna makuu.
 
Katika hilo maweza kujihakiki kuwa wewe ni material gal oops!! Material woman,nimeteleza kidogo hapo.

Masihara ayoo.....yan bora hata angesema material wife kahh material gal
 
Mie kwenye post zang sijawah andika english coz naeza ona npo perfect kumbe nmeandka madudu aka mie full kiswahil atakaeniona cjasoma au mi sio great thinker atajijua.....

hivi neno perfect ni la kiswahili?
 
Back
Top Bottom