Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

Rubbish.
 
Aombe radhi kwa kutamka neno la kitaaluma?!
Hivi daktari akikwambia unaumwa au kinywa chako kinatoa harufu utamuambia akuombe radhi?

Hit direct to the Ntonku
Dhaifu sio neno la kitaaluma ...tuache utani...wahasibu mmekosa maneno ya kitaaluma?
 
Analinda ugali wake huyo.
Ndio shida ya wasomi wa nchi hii leo anaweza kukwambia hiki kesho akasema hiki.
Hawaeleweki!!!
Ni ujasiri wa Mbwa kushindwa kulinda ugali wako
 
Huu ni upumbavu
 
Ikaja ikatokea anko akamsapoti CAG naona utabilisha gia angani
 
Ikaja ikatokea anko akamsapoti CAG naona utabilisha gia angani
Amsuport kama bunge ni dhaifu?unaelewa maana yake?Bunge dhaifu maana yake livunjwe does CAG understands that?
 
Huu ugoro kuleni wenyewe huko Lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upumbavu mtupu...!! Kuelimika ni kile kinachobaki kichwani baada ya miaka ya masomo, inawezekana Kitila aliviacha vyote kwenye Course Work na Assad alibaki na ujuzi wa taaluma yake kichwani.
 
Amsuport kama bunge ni dhaifu?unaelewa maana yake?Bunge dhaifu maana yake livunjwe does CAG understands that?
CAG anaelewa alichomaanisha ndio maana amesimamia msimamo wake.#Only GOD can mute CAG
 
Mmemchoka kivipi? Kusema "udhaifu wa bunge" au kukagua matumizi ya serikali?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…