Nasa hao!

Haha itakuwa tamu sana tukichukua hatamu za uongozi nchini , dola tamuu
Nasa tibim
FB_IMG_1498562851984.jpg
 
Yeas Ole Ntimama was at one time on RAO side but remember that didn't last till end and Ole Ntimama respected Lowassa as a senior paramount leader! A reason he frequented his home in Monduli before election.

unajua maana ya hiyo dress aliyovaa Lowassa na fimbo?


Well, I guess the regalia denote the fact that he is a highly esteemed figure among the Maasai.

But the Masaai in Kenya are not sulking over Raila's decision not to back him. Most Kenyan Masaais are in fact indifferent to the political events in Tanzania. They have tgeir interests and concerns to worry about in Kenya.
 
Well, I guess the regalia denote the fact that he is a highly esteemed figure among the Maasai.

But the Masaai in Kenya are not sulking over Raila's decision not to back him. Most Kenyan Masaais are in fact indifferent to the political events in Tanzania. They have tgeir interests and concerns to worry about in Kenya.
Why do u think 13 Masai Mps from Kenya would have crossed the border and come to Monduli to listen and strategize with Lowassa? Use ur brain my friend Lowassa has influence over all Massais. The fact is even if RAO miracuously win Masai vote won't be there to award him the win. Take that to the Bank
 
Why do u think 13 Masai Mps from Kenya would have crossed the border and come to Monduli to listen and strategize with Lowassa? Use ur brain my friend Lowassa has influence over all Massais. The fact is even if RAO miracuously win Masai vote won't be there to award him the win. Take that to the Bank


BIG BOOST to Raila NASA as Maasai Community DUMPS Jubilee for ODM, Accuses DP Ruto KILLING WHEAT Farming in Narok


JP has failed us, we’ll vote Raila – Mau evictees

http://kenyannews.co.ke/news/blow-t...-support-jubilee-we-will-support-railas-nasa/

Over 50 Maasai leaders meet Raila
 
Why do u think 13 Masai Mps from Kenya would have crossed the border and come to Monduli to listen and strategize with Lowassa? Use ur brain my friend Lowassa has influence over all Massais. The fact is even if RAO miracuously win Masai vote won't be there to award him the win. Take that to the Bank


And Lowassa and Raila are also very good friends, I dont think he would undermine his efforts. There is no evidence of Lowassa's involvement in our politics, trying to influence the Masaais to vote in some way.
 
CHADEMA eti wanamuunga mkono Uhuru kisa Raila ni rafiki wa Magufuli, huu ni ujinga na ni kutia aibu taifu letu. Hawa wawili ni friends toka nyuma sana na siasa za Kenya tofauti sana na Bongo. Tuwaache wafanye maamuzi, tusiwe wapumbavu kiasi huko.

Isitoshe Uhuru ndiye KANU.
Kama CHADEMA ni wajinga wewe ni nani? tunataka kukujua unafagia rami au mitaro?
 
And Lowassa and Raila are also very good friends, I dont think he would undermine his efforts. There is no evidence of Lowassa's involvement in our politics, trying to influence the Masaais to vote in some way.

LOWASSA ATANGAZA KUMUUNGA MKONO KENYATTA
http://www.nation.co.ke/news/Chadema-supports-Uhuru-Kenyatta-Jubilee-Party/1056-3946038-pa25oqz/index.html
hapa akaleta unafiki wake baada ya kuona mambo mazito
Raila says he remains friends with both JPM and Lowassa
 
Naomba nikupe ukweli RAO hatoboi mwaka huu na naweza kukupa sababu ambazo kwa juu juu huwezi kuzichukulia serious. Kwa kuanzia asahau Masai vote kitendo cha kumsaliti Lowassa kutoka Chadema chama kilichokuwa na partnership na ODM na kumuunga mkono Magufuli kisa anatoka kanda ya ziwa kimemfanya aonekane si man of principles bali ni mtu wa ukanda ama ukabila. Ikumbukwe Lowassa mbali ya kabila lake kuendana na Wakalenjin alifuata makubaliano ya chama na ikumbukwe Lowassa ni all Masais highest leader na ni kosa kubwa sana RAO alifanya na asahau kura za Umasaini. Sasa hivi watoto wa Ntimama wanaonekana wakichukua ushauri toka kwake yaani Masai vote iende wapi. Ikumbukwe hili kabila linaheshimu sana maamuzi ya viongozi wao.
hivi watu mnao mtuhumu Odinga kumgeuka Lowassa mbona Odinga ni rafiki ya Magufuli toka kitambo sana? mlitaka afanyaje sasa
mnakumbuka Magufuli akienda kumuunga mkono odinga 2013 wakat wa uchaguzi tena akiwa just waziri tu hapa TZ
 
hivi watu mnao mtuhumu Odinga kumgeuka Lowassa mbona Odinga ni rafiki ya Magufuli toka kitambo sana? mlitaka afanyaje sasa
mnakumbuka Magufuli akienda kumuunga mkono odinga 2013 wakat wa uchaguzi tena akiwa just waziri tu hapa TZ
Kwahiyo urafiki ni zaidi ya party agreements? Alitakiwa akae neutral na Lowassa ana kila sababu ya kumuunga mkono Kenyatta kama RAO alivyofanya kwa Magufuli. Na kukiuka makubaliano kama haya na mengineyo kama uteuzi wa upinzani serikalini ndo kutamfanya hata Magufuli kuhujumiwa ndani ya CCM. Na hivi ndio siasa zinachezwa RAO hatoboi.
 
Kwahiyo urafiki ni zaidi ya party agreements? Alitakiwa akae neutral na Lowassa ana kila sababu ya kumuunga mkono Kenyatta kama RAO alivyofanya kwa Magufuli. Na kukiuka makubaliano kama haya na mengineyo kama uteuzi wa upinzani serikalini ndo kutamfanya hata Magufuli kuhujumiwa ndani ya CCM. Na hivi ndio siasa zinachezwa RAO hatoboi.
hahahaha
Magufuli alimsapot Odinga kaboa huyo Lowassa haja anza kumsapot na wote walikuwa CCM
labda Lowassa ana ishu zake tu na RAO, hata RAO asipo toboa siyo kwa kuwa he is a bad politician au kwa kuwa eti alimsapot Magu ila kwa kuwa Kenyans alwys votes in tribal blocks.
 
hahahaha
Magufuli alimsapot Odinga kaboa huyo Lowassa haja anza kumsapot na wote walikuwa CCM
labda Lowassa ana ishu zake tu na RAO, hata RAO asipo toboa siyo kwa kuwa he is a bad politician au kwa kuwa eti alimsapot Magu ila kwa kuwa Kenyans alwys votes in tribal blocks.
Na Lowassa kugombea kwa ticket ipi? Au akiwa na kadi ya chama kipi?
 
Nilimuona Raila wa maana ila alipoanza ungana na ccm nikamuona hafai
Ngoja alie tena mwaka huu
 
hiyo haijalishi
ndio.maana nimekupa circumstance iliyo mkuta Odinga
sioni kama kuna haja ya kumlaum
Ndo maana Magu anavunja Taratibu na hafuati sheria wala ushauri kitu wakenya wame-note. Anajishughulisha na kuvunja upinzani. Wakenya wame-note Birds of the same feathers.
 
Back
Top Bottom