LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Akipita atajibuKiukweli sijamwelewa mtoa mada.
Naona kakutana na binti. Mwisho wa siku hajamweleza chochote ila anataka kumuoa huku furaha yake imepotea. Je alimtongoza mwanamke? Je mwanamke amempotezea baada ya kuonana? Ameniacha kwa hapo
ila kumbuka wenye visu vikali ndio walaji wa nyama Sent using Jamii Forums mobile app
