Hata tajiri ni maskin mtarajiwa na maskin anaweza kuwa tajiri mtarajiwa usitukane Mamba kabla hujavuka mto dogo maliza chuo uje kwa ground tuonyeshane makali hivyo vihela hela unavyo pewa kwa mkopo vnakufanya ujione tajiri humu
Jaribu kua muelewa,hapa issue ni kutumia public transport,halafu hunijui,so usiiongopee akili yako kijana.Mwenzako kapaki range Rover ya mwaka 2019.
Huyo ni mchawi Tu sidhani Kama kuna lingine linamfanya apaki Magari yake ndani na kupanda daladalaSio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Ooh!!!Ni utoto tu ukikua utaacha
kwamba una gari linalotumia mafuta ya 50k kwa wiki na umejitoa kwenye kundi la masikini.Mafuta ya elfu 50 yanatosha wiki mzima, sasa ukimwona mtu mpaka anapaki gari nyumbani kwasababu ya mafuta kukata huyo bado maskini
Pia unaweza kutushauri kuwa maisha si Dar pekee. Mikoani kuna maisha burdani sanaaa.Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Straight forward!!!Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
"We need to teach our generation that owning a car is not a symbol of success, and walking does not mean poverty"-The Late Nelson Mandela.Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
KUKATWA KIDOLE NA MLANGO WA MWENDOKASI IS ALMOST IMPOSSIBLE SABABU ILE NI RUBBERHabari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Bado anatembea na umaskini ndani yakeSio kweli.
Kuna bosi mmoja mkinga ,
Ana magari mengi tu,
Naona anayapaki tu na kwenye mwendokasi anadandia.
Dawa ni kupunguza Kasi ya kuzaliana. Watanzania million 60 ni sawa sawa na mataifa mawili, ndio maana watu wanapambana kupunguza idadi ya watu Duniani.Habari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
Hatuna barabara sheikh...wakiondoa Kodi Za magari mtayaendesgea wapi?assume Hadi Fundi viatu kapaki gari nje barabara zitatosha?Upo sahihi kabisa. Sababu ni serikali yako. Usafiri umefanywa kuwa anasa badala ya hitaji muhimu la watu.
Nchi zilizoendelea magari ni hitaji la muhimu
Umeingiza sh ngapi kwa kuongea hizo pumba? Tafuta hela kijana acha kulialia... Umasikini Unanuka, Umasikini sio sifa, Umasikini sio fahari ya kujivunia!Hata tajiri ni maskin mtarajiwa na maskin anaweza kuwa tajiri mtarajiwa usitukane Mamba kabla hujavuka mto dogo maliza chuo uje kwa ground tuonyeshane makali hivyo vihela hela unavyo pewa kwa mkopo vnakufanya ujione tajiri humu
Chuo nimeshasahau hata nilisomea nini, mavyeti yapo huko kabatini yanakojolewa na mende mimi nipo nakula faida wewe unasema tukutane groundHata tajiri ni maskin mtarajiwa na maskin anaweza kuwa tajiri mtarajiwa usitukane Mamba kabla hujavuka mto dogo maliza chuo uje kwa ground tuonyeshane makali hivyo vihela hela unavyo pewa kwa mkopo vnakufanya ujione tajiri humu
Njoo nikupe kaz dogoUmeingiza sh ngapi kwa kuongea hizo pumba? Tafuta hela kijana acha kulialia... Umasikini Unanuka, Umasikini sio sifa, Umasikini sio fahari ya kujivunia!
Wewe ni masikini
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Sawa Boss, ila unazingua kupanda DaladalaNjoo nikupe kaz dogo
Aliyekuambia ukaishi mbagala ndio kakuponza ila usijali, BRT inakamilika soonHabari wanajukwaa!
Natumaini hamjambo,
Hii sio kashfa bali ni ukweli mtupu.
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Mwendokasi nako niliwahi kupanda jioni nako hali ni ngumu. Kuna mfanyakazi mwenzangu alikatwa kidole na mlango wa mwendokasi asubuhi wakati anakuja kazini.
RIP englishI personally define poverty as the ability not to afford to live a better life aka substandard life