kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,144
Mosi kuna kila dalili ya dhuruma kubwa na kutothaminiwa kwa maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi wa october 2020. Inaaminika kwamba 75% ya returning officers wa tume ni makada wa CCM, wakurugenzi wa halimashauri na majiji.
Nikikumbuka ya mkurugenzi wa Kinondoni niseme wazi kama structure ya tume itabaki hivyo hakuna haja ya kupoteza mda wangu kwenda kupiga kura. Maana mshindi anajulikana. Ni yule aliyeleta refa. Itakuwa ni kupoteza muda .
Before this 5th regime wakurugenzi walitumika pia lakini tofauti ni kwamba walikuwa purely watumishi wa umma with no open or minimal conflict of interest na chama tawala au vyama vingine
Sababu nyingine ni kwamba mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais lakini pia ni mgombea wa chama tawala, alishawaonya returning officers wa tume kwamba hakuna fair play nikuchague Mimi, mshahara nikulipe, nikupe gari ya kutembelea halafu umtangaze mpinzani?.
Hii sentesi huwa inanikatisha tamaa sana . which means my vote doesn't count at all . Naweza mchagua ubunge wa CCM kama anafaa. Suppose hafai then tukamchagua mpinzani Wakurugenzi wameagizwa kutomtangaza.
Bila tume huru ntabaki nyumbani. I won't waste my time.
Nikikumbuka ya mkurugenzi wa Kinondoni niseme wazi kama structure ya tume itabaki hivyo hakuna haja ya kupoteza mda wangu kwenda kupiga kura. Maana mshindi anajulikana. Ni yule aliyeleta refa. Itakuwa ni kupoteza muda .
Before this 5th regime wakurugenzi walitumika pia lakini tofauti ni kwamba walikuwa purely watumishi wa umma with no open or minimal conflict of interest na chama tawala au vyama vingine
Sababu nyingine ni kwamba mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais lakini pia ni mgombea wa chama tawala, alishawaonya returning officers wa tume kwamba hakuna fair play nikuchague Mimi, mshahara nikulipe, nikupe gari ya kutembelea halafu umtangaze mpinzani?.
Hii sentesi huwa inanikatisha tamaa sana . which means my vote doesn't count at all . Naweza mchagua ubunge wa CCM kama anafaa. Suppose hafai then tukamchagua mpinzani Wakurugenzi wameagizwa kutomtangaza.
Bila tume huru ntabaki nyumbani. I won't waste my time.