min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,572
😁😁 vichwa watupu.View attachment 3179572
View attachment 3179573
View attachment 3179575
Hawa wote sio wajinga..
Cc. min -me
😁😁 vichwa watupu.View attachment 3179572
View attachment 3179573
View attachment 3179575
Hawa wote sio wajinga..
Cc. min -me
Tumesha waelimisha Sanaa..hawaelewi.Pombe Wala Haina shida...imekaa zake kwenye chupa imetulia tuli...wewe ndiyo unashida, pombe haijakulazimisha uinywe ,umeifata mwenyewe na unaindekeza ...ukiona pombe inakuletea matatizo Fanya juu chini,pinduka binuka uachane nayo
Ndio maana wanakuambia kunywa kistaharabuWachaga wengi tu pombe zimewaribu na kuwafilisi hasa vijana wanaojitafuta...wachaga wakipunguza pombe hakika watafika mbali sana kimaendeleo
Hawa wanywa soda 🥤 juice wana matatizo.😁😁 vichwa watupu.
Kila siku tunarudia somo lile lile tu.Hawa wanywa soda 🥤 juice wana matatizo.
Kweli mkuu.Kila siku tunarudia somo lile lile tu.
Kuna kutumia kwa manati (common sense) na kuna kutumia kwa kufakamia (no sense). Eg Konki Fire,View attachment 3179572
View attachment 3179573
View attachment 3179575
Hawa wote sio wajinga..
Cc. min -me
Asante mwerevuNakupa ushindi mjinga
Mtu akitumia pombe Vibaya akawa addicted it's over .Moja Kati ya Uzi Bora huu Mwaka.
Pombe ni rafiki mkubwa wa vitu vitatu
: Umaskini
: Maradhi
: Akili ndogo (Aibu)
Mtu akitumia pombe Vibaya akawa addicted it's over .
Pombe ni heroin iliyochangamka if you know you know .
Moja ya kitu nasicho kikubali recently ni Pombe. That's why nawashauri vijana wenzangu tuitumie kwa manati.
Financial Freedom na Pombe ni maadui!
You nailed it Fren.
Nazungumzia wanao tumia kwa Common sense 😀Kuna kutumia kwa manati (common sense) na kuna kutumia kwa kufakamia (no sense). Eg Konki Fire,
Unaongelea upande gani wa matumizi ya Pombe ?
Alcohol is a slow poison disguised as fun. It dulls your mind, drains your drive, and kills your discipline. Real men don’t need crutches.Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!
Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!
Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?
Mhhhhhh!!!??
Huyu sii adui,adui ni wewe mwenyewe na nidhamu yako kwa pombe.Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!
Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!
Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?
Mhhhhhh!!!??