Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

Pombe Wala Haina shida...imekaa zake kwenye chupa imetulia tuli...wewe ndiyo unashida, pombe haijakulazimisha uinywe ,umeifata mwenyewe na unaindekeza ...ukiona pombe inakuletea matatizo Fanya juu chini,pinduka binuka uachane nayo
Tumesha waelimisha Sanaa..hawaelewi.
 
 
Moja Kati ya Uzi Bora huu Mwaka.

Pombe ni rafiki mkubwa wa vitu vitatu
: Umaskini
: Maradhi
: Akili ndogo (Aibu)

Mtu akitumia pombe Vibaya akawa addicted it's over .

Pombe ni heroin iliyochangamka if you know you know .

Moja ya kitu nasicho kikubali recently ni Pombe. That's why nawashauri vijana wenzangu tuitumie kwa manati.

Financial Freedom na Pombe ni maadui!

You nailed it Fren.
Mtu akitumia pombe Vibaya akawa addicted it's over .

Nilitaka niaanze kukukandia lakini huo mstari uliowela hapo juu ume neutralize kila kitu
 
Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!

Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!

Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?

Mhhhhhh!!!??
Alcohol is a slow poison disguised as fun. It dulls your mind, drains your drive, and kills your discipline. Real men don’t need crutches.
 
Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra!

Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako!

Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, halafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe?

Mhhhhhh!!!??
Huyu sii adui,adui ni wewe mwenyewe na nidhamu yako kwa pombe.
 
Back
Top Bottom