Napoteza Rafiki yangu jamani nisaidie

Napoteza Rafiki yangu jamani nisaidie

Mimi nilimkopa milion 2.5 na kumwazima gari. Akanokisha engine na kuitelekeza na hio 2.5 hakuna. Nimedai ananiambia hanipi sababu kuna maneno nimemwambia mke wake.
Unajua i have failed to comprehend kabisa wakati mke wake sina hata mazoea nae na wameachana. Urafiki kazi sana. Ila nafikiri hajui roho yangu, the revenge will come in multiples labda mmoja wetu atangulie kufa.
Wakati huu sina mda wa kupoteza ku devise a plan, but the time will come when am relaxed and settled. Iwe in a year hata 10 years atakumbushwa tu tena kwa maumivu makali!

Halaf kweli kama kuna mtu anahitaji body ya benz macho ya panzi anitumie pm.
 
Habari zenu wanajamvini, majuzi nilitoa hela Tigo pesa 500,000 nkampa huyo rafiki yangu azihesabu coz nilikuwa nadrive zen achukue mkopo anaotaka maana aliniambia hana hela anataka nimkope, kwenye gari kulikuwa na dada mwingine sasa wakati yule shost anahesabu hela akanipa laki mbili yeye akachukua laki tatu sasa ikafika muda wa malipo nkambwambia unajua nakudai laki tatu akasema no nilichukua laki mbili nkwambia tumuulize yule dada mwinigne ambae alikuwepo akasema alinipa mie laki mbili na yeye kuchukua tatu,

Basi nkasema nimeingia hasara laki kwa urafiki ni issue ndogo sana nkapotezea sasa jana mchana nkawa nampigia simu as you friends coz tulizoea kusalimiana nkakutana simu haipatikani sasa jioni tulipoona nkamuuliza vipi mbona nimekupiga mchana sijakupata akaniambia nimekublock kozi unaleta njaa zako na kunisingizia kama ulikuwa unataka kunikopa si ungesema kuliko kunisingizia umenipa laki tatu daaah nilijisikia vibaya sikujibu kitu kbs! Hivi jaman mtu kama huyu unamfanyaje? Mie nkajisemea kimoyomoyo Mungu kama nimekosea mie show me ila kama ni yeye amuonyeshe coz siwez kupoteza urafiki coz of 100,000/= maana siku nyingine huwa tunapeana hela tunanunuliana vitu! Yaan kakasirika as if kweli nimemsingizia

Mimi kwa kweli marafiki sitaki tena nina mume (ambae ni rafiki yangu ) na watoto inatosha.Napenda ukimyaa na kelele huwa sikaribishi.Naishi Kama nakufa Kesho sinamuda wa marafiki.Siendi nyumba ya mtu lakini kutwa wana visit na siendi kwa wabongo cause sinachakujifunza zaidi ya ujinga .Happiness and peace and harmony is what I need .Next time choose friends ambao wapo responsible na ubinadamu Yaani mimi I don't trust people hata na wanangu .People can be evil .Achana nae
 
Uvumilivu katika kila jambo ni jambo la lazima sana katika mahusiano yoyote.

Thamani ya mtu haiwezi kulinganishwa na pesa au ujinga anaokufanyia, msamehe msonge mbele

Aachane nae siyo rafiki mzuri
 
Mimi kwa kweli marafiki sitaki tena nina mume (ambae ni rafiki yangu ) na watoto inatosha.Napenda ukimyaa na kelele huwa sikaribishi.Naishi Kama nakufa Kesho sinamuda wa marafiki.Siendi nyumba ya mtu lakini kutwa wana visit na siendi kwa wabongo cause sinachakujifunza zaidi ya ujinga .Happiness and peace and harmony is what I need .Next time choose friends ambao wapo responsible na ubinadamu Yaani mimi I don't trust people hata na wanangu .People can be evil .Achana nae
hee!!! kumbe foreigner?!!!
 
Duuuh!! R.I.P urafiki wenu ingawa wewe uliupenda na kuujali lakini Pesa imeupenda zaidi.
 
hee!!! kumbe foreigner?!!!
Folena anajitahidi kuandika kiswahili kilichonyooka huyo, huwa najiuliza kwanini wabongo huwa hatuthaminiani maana mtu akiwa level flani anakuambia mie sipendi kujichanganya na waswazi wakati kipindi chote cha makuzi ulikuwa nao
 
Kama ulimuamini na yeye amesema amechukua laki 2 sio tatu basi ni kuachana nae na mkikutana nae wala usitake kukumbushia hizo hela wakati mwingine mambo haya hutokea kama sehemu ya kukuepusha na makubwa zaidi. Mtu akikudhulumu kwa kidogo maana yake siku akiwa na tatizo kubwa zaidi inakuwa ngumu kuku-face. (Si unajua kuna urafiki flani hivi unaenda kumkopa mtu milion au ana dharula kubwa kupita uwezo lakini kwa kuwa ni mrafiki inabidi uhangaike huku na kule ili mradi ela ipatikane umsaidie kuondoa tatizo lake, kwa mtaji huu jamaa amekuweka huru maana mjini ndugu zako ni marafiki)
 
Mimi kwa kweli marafiki sitaki tena nina mume (ambae ni rafiki yangu ) na watoto inatosha.Napenda ukimyaa na kelele huwa sikaribishi.Naishi Kama nakufa Kesho sinamuda wa marafiki.Siendi nyumba ya mtu lakini kutwa wana visit na siendi kwa wabongo cause sinachakujifunza zaidi ya ujinga .Happiness and peace and harmony is what I need .Next time choose friends ambao wapo responsible na ubinadamu Yaani mimi I don't trust people hata na wanangu .People can be evil .Achana nae

basi we rafiki yako shetani
maana unaonekana hutaki urafiki na binadam
 
Pesa fitna kubwa katika maisha ya binadamu, ila vumilianeni na kusameheana. Ukiona kitabia cha utata kwenye pesa kinazidi kuendelea baada ya tukio hili, nakushauri hafai huyo rafiki
 
Mimi kwa kweli marafiki sitaki tena nina mume (ambae ni rafiki yangu ) na watoto inatosha.Napenda ukimyaa na kelele huwa sikaribishi.Naishi Kama nakufa Kesho sinamuda wa marafiki.Siendi nyumba ya mtu lakini kutwa wana visit na siendi kwa wabongo cause sinachakujifunza zaidi ya ujinga .Happiness and peace and harmony is what I need .Next time choose friends ambao wapo responsible na ubinadamu Yaani mimi I don't trust people hata na wanangu .People can be evil .Achana nae

...wewe ni mimi. Kwa hakika nimebaki nikijiuliza kama maneno haya nimeyaandika mimi halafu nikasahau! Wako ndio msimamo wangu pia.most of the time kuishi aina ya maisha uliyoandika hapa kunapunguza sana stress zisizokuwa na ulazima sana. naunga mkono hoja.
 
Kama ni rafiki yako wa kushibana mbona umekimbilia mbio JF kumsemea?

Mmeshindwa kuyamaliza?
 
Kama ni rafiki yako wa kushibana mbona umekimbilia mbio JF kumsemea?

Mmeshindwa kuyamaliza?

Kuna tatizo baba mchungaji!? Hajamtaja jina isitoshe anatumia Id fake.Nadhani mambo mengine ni kwa ajili ya kujifunza zaidi na sio kusemeleana.
Mzima lakini!??
 
Mimi ningemuua si kwa sababu ya laki moja ila kwa dharau walahi urafiki kitu gani?
 
Mimi nilimkopa milion 2.5 na kumwazima gari. Akanokisha engine na kuitelekeza na hio 2.5 hakuna. Nimedai ananiambia hanipi sababu kuna maneno nimemwambia mke wake.
Unajua i have failed to comprehend kabisa wakati mke wake sina hata mazoea nae na wameachana. Urafiki kazi sana. Ila nafikiri hajui roho yangu, the revenge will come in multiples labda mmoja wetu atangulie kufa.
Wakati huu sina mda wa kupoteza ku devise a plan, but the time will come when am relaxed and settled. Iwe in a year hata 10 years atakumbushwa tu tena kwa maumivu makali!

Halaf kweli kama kuna mtu anahitaji body ya benz macho ya panzi anitumie pm.

Mkuu pole sana kwa haya yote yaliyokukuta,na Mimi pia nina KISASI cha kulipa kama chako kwa Mtu fulani hivi na nilishamwambia kabisa ipite miaka hata kumi na ninachotaka hasa asahau kabisa yale yote mabaya aliyonifanyia ndio nilipe Kisasi changu kwake maana ndio itamuuma vizuri,unamsaidia Mtu halafu anakuona wewe ni ----- kuliko mabwege yote.
 
Kwangu mimi si kulipa kisasi...ila fahamu cha kwangu utanipa tu!nitatia maguu nyumbani kwako usiku huko huko chumbani kwa mkeo tutalala wote siku hio....ukope alafu ujitie bandidu...nyooooo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom