Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

Napokaribia kufika kileleni naanza kuunguruma

Vipi mkuu Kifimboplayer, unaungurumia mbele ama nyuma?
HABARI GANI MARAFIKI HUMU NDANI NI MATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA NJEMA.

nakuja mbele yenu ili niweze kupata ushauri juu ya hili tatizo linalonikabili la ninapokaribia kufika kileleni (mshindo) naanza kuunguruma na miungurumo hiyo si ya kawaida ni ile inayofanana na wanyama kama simba, chui, mbuzi beberu, paka au mbwa na wakati mwingine hugugumia kama njiwa nk.
Tatizo hili lilianza kipindi cha nyuma kidogo na ex-girlfriend alinipigia sana kelele kuhusu tatizo hilo lakini sikumwelewa sasa huyu wa sasa hivi amenishikia bango na kudai nisipobadilika basi nijue sina mda mrefu nae kwani huko kuunguruma kuna mkera sana na kwa kunithibitishia hilo juzi kati tukiwa kwenye malavi davi alichukua kilonga longa chake akakiseti kwenye record ile tunaanza akabofya battan ya kurekodia nisijue nini kinaendelea. Baada mchezo wenye ushindi wa magoli matatu ndipo aliponiambia kwamba leo alikuwa na zoezi moja tu la kunirekodi huku nikimpuuza kwa hayo aliyoniambia kwani ni kweli huwa naunguruma lakini si kama anavodai, baada ya zoezi hilo aliifungulia simu na kuweka sauti juu kabisa kwakweli sikuweza kuamini kilichotokea yaani katika magoli yote niliweza kubadili miungurumo mitatu ya wanyama tofauti tofauti yaani iliogofya sana nikaone hapana niende jamvini nikatoe lililonisibu huenda nikapata pa kuanzia kwani mpaka sasa sijui nianze kwa vigagula au hosp.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa nimecheka sana.. Kuna jamaa yangu yy anaunguruma kama mlio bunduki..unaweza dhani kuna move

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
inaelekea huko
mbeleni utajinyea kabisa ni bora uwe makini ama uache kabisa
 
Hujaambiwa kuweka picha kweli? Angalau naona umeambiwa uweke sauti hiyo uliyorekodiwa, lkn sauti bila picha.....
 
Hahaaaaaa!mr lion in the house,hao madem zako wavumilivu,mm ningepita dirishani haki ya nani!
 
tuwekee hiyo clip tusikie hiyo miungurumo yako kama ni kweli inafanana na wanyama.
 
madawa ya wamasai ayo unayotimia kabla ya game, yanakuwa ya mifugo, pole sana punguza kununua. siku lia kama nguruwe halafu upate demu wa kiislamu ndo utaacha milio yako.
 
hawakupendi hao wanaume mkifika mshindo mna vituko vyenu wengine mpaka unawaonea huruma mwingine analia.
Daaa embu nnyamaze mie mapenzi kuvumuliana jamani sasa kama hawezi kuvumilia vijisekunde vya muungurumo mengine ataweza.

upo sawa kabisa!
 
Jf inanipa rahaa sana hasa nikiwanatakakucheka lazima niingie humu
 
hahahahahahaaaaaaaa daddy jamani
sasa mm nitawezaje kumsaidia kumfunga mdomo wakati yuko na mhusika wake
wakati anapofanya majambozi amwambie amfunge ili asitoe muungurumo huo
usinitafutie ubaya daddy kwa wapendanao hao mm sintofanya hiyo kitu
Siamini katika unajimu mimi...

Hebu mtafutie solu tepu awe anaziba kinywa chake wakati wa majamboz
 
jamani hebu wanaume tuwe wakweli,kwani kuna ambaye haungurumi humu ndani?au wadada kwani wanaume mnaokutana nao hawaungurumi?au angalau kugugumia ndani kwa ndani watoto wasije kusikia?

mimi naunguruma simba cha mtoto halafu nikimaliza huwa naruka samasoti kama luis nani wa man utd akifunga goli
 
Back
Top Bottom