Napitiliza hadi kituo cha daladala kisa 'wowowo'

Napitiliza hadi kituo cha daladala kisa 'wowowo'

Ivii wowo hii ni Hadi kwa wazungu au kwetu tu
Wakina Kim karadashian walipata umaarufu kwa sababu ya wowow...siku Hizi wazungu wanafanya squats ili wapate Hizo wowowo..wengine wanafanya plastic surgery kupata wowow...

So naona ni world wide
 
Wakina Kim karadashian walipata umaarufu kwa sababu ya wowow...siku Hizi wazungu wanafanya squats ili wapate Hizo wowowo..wengine wanafanya plastic surgery kupata wowow...

So naona ni world wide

Hata wewe unaweza pata umaarufu kwa wowowo ukiwa na mikakati mizuri
 
Sasa nifanyaje Siwezi piga picha...Au tuma hela Nimuombe Jirani kutumia simu Yake[emoji16]
Papara za nini dada? tuanze na mazungumzo hata tukifika usiku tushapata ufumbuzi weka namba Pm tu tuanze mchakato, usiwe na wasiwasi Smartphone inakunukia tu kama unayoyazungumza ya ukweli.
 
Mwenzenu karibia naumbuka yaani nikiona mwanamke mwenye makalio makubwa nachanganyikiwa kabisa nakupoteza network.

Yaani inafikia mahali hata kama niko kwenye daladala naenda mahali akipanda mwanamke aliyejaliwa maeneo ya nyumba basi nihakikisha nashuka kituo atakachoshuka hata kama nikupitiliza napoenda naona sawa tu ili mradi nimpe maneno mawili matatu huyo mwanamke.

Hii tabia imenifanya nipoteza muda na mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama Sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea Mwenge kwenda Posta nilijikuta nimefika Posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.
Mku unapenda sana choo, wa hivyo wakiwa uchi hata hawavutii, afu wanaficha sana uchafu
 
Back
Top Bottom