Napingana na wanaosema Afya ya Rais si siri

Napingana na wanaosema Afya ya Rais si siri

Nimpongeze Mhe. Rais kwa kuamua kukaa chini na kufanya kazi za ofisi ikiwemo kuhakikisha mambo nyeti yaliyokuwa yanasimamiwa na Marehemu Balozi Kijazi yanakabidhiwa kiutaratibu kwa mrithi wake.

Kuondoka ghafla kwa Mhe Kijazi si Jambo dogo kwenye utawala wa nchi, huyu alikuwa mshauri mkuu wa Rais na aliyahifadhi mengi ambayo hakuna mwingine aliyeweza kuyafahamu isipokuwa watu wawili labda na wasaidizi wao.

Kwa kiongozi anayeliwazia mema na Taifa na kiongozi aliyefanya kazi kubwa ya mageuzi kwenye utumishi na mfumo wa serikali ikiwemo kupambana na ufisadi lazima akae ayapitie majalada yote nyeti nakutoa marlekezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Lakini pia ipo hoja ya kuumwa, sidhani kama kukaa ofisini ukafanya kazi zako kumekatazwa kikatiba, hakuna sehemu katiba inamtaka Rais anatakiwa aonekane mara ngapi kwa wiki, mwezi au mwaka. Hivyo kukaa kwake kimya si kinyume Cha sheria.

Tatu Rais haendeshwi kwa matakwa ya watu flani wenye maslahi yao binafsi kwamba leo watamwambia ongea akaongea na kesho wakamwambia nyamaza akanyamaza. Rais ni mkuu wa nchi na hapaswi kuendeshwa na genge flani la watu. Hawa hawa mwaka jana walivumisha habari hizihizi lakini matokeo yalionekana. Tusipende kuibaka katiba kwa kuitumia vibaya au kuitafsiri tutakavyo.

Kama yupo mwenye ushahidi kwamba anaumwa aweke wazi na hapo ndipo zitaibuka hoja za kisheria na kikatiba na serikali itawajibika kujibu.

KUENDELEA KUMTAKA RAIS AJITOKEZE AACHE KAZI ALIZOKABIDHIWA NA SERIKALI NI UTOVU WA NIDHAMU DHIDI YA TAASISI HII NYETI. HATA AKIKAA MWAKA HAKUNA SEHEMU KATIBA INAMLAZIMU AJITOKEZE KUFANYA KAZI KWENYE MEDIA.

HONGERA SERIKALI KWA KUWEZA KUDHIBITI UPEPO WA WAHUNI WA MITANDAONI
Kumbe una muono wa mbali sana hongera, Chief Secretary, Chief of Public Service, Secretary to the Cabinet, Secretary to National Security Council, Secretary to National Projects Implementation Committee and Head of all Permanent Secretaries.

Mtumishi mwenye nguvu mmno ambae hapigiwi kura. Roho ya kiutendaji ya Serikali.

Na Mtendaji mkuu wa hiyo ofisi akiondoka ghafla bila kuwa na matayarisho ya replacement, maana yake serikali inabidi uijenge upya.


Kiutendaji ndio Rais wa Utendaji wa Nchi. Viongozi wengine anapoondoka Chief Secretary bila matayarisho ya replacement, Marais huchanganyikiwa.

MSAHAFU AU BÍBLIA YA SERIKALI KWA WAKATI HUO.

Muda utatupa majibu. Hongera kumbe tuna watu humu JF.
 
Unaandika maelezo mengi afu utumbo tu __ ukisema Hakuna sehemu iliyo andkwa kua rais ajitokeze Mara ngapi ndivo pia Hakuna sehemu iliyoandikwa kua watu wasihoji kuhusu afya ya rais ,,Kuna Mambo mengine sio lazma yaandikwe ktk Katiba mengine n kawaida yetu tu __ rais n kiongozi wa shughul za kila siku za kiserikal na kwa maana hiyo rais ataonekana ktk shughul izo kupita wiki mbili rais kutokuonekana huku shughuli za serikali ambazo zingine znamuihitaji sio lazma iwe kikatiba Ila kwa kawaida zipo znaendelea tu bla uwepo wake lazma kuwepo kuuliza rais wetu yupo wapi na ana Hali gani maana Yule ndie mkuu wa nchi,,tatzo lako unafikiria kila anaehoji rais yukwap ana Nia mbaya haipo Ivo watu wanauliza 7bu ktk nchi Kuna rais mmoja tu na watu wanaohoji kwasababu ndio waliomuweka madarakani.
 
Kuna binadamu wa ajabu Dunia hii,nut unajisimika Uraisi kwa kutuibia na kuvuruga Uchaguzi halafu Afya yako munataka iwe siri yako

Kwanini umejisimika kwenye kiti cha uraisi kama hutaki tuhoji afya yano?

So bora ungefanya shughuli nyingine kama ungetuona tukikuulizia afya yako
 
Nimpongeze Mhe. Rais kwa kuamua kukaa chini na kufanya kazi za ofisi ikiwemo kuhakikisha mambo nyeti yaliyokuwa yanasimamiwa na Marehemu Balozi Kijazi yanakabidhiwa kiutaratibu kwa mrithi wake.

Kuondoka ghafla kwa Mhe Kijazi si Jambo dogo kwenye utawala wa nchi, huyu alikuwa mshauri mkuu wa Rais na aliyahifadhi mengi ambayo hakuna mwingine aliyeweza kuyafahamu isipokuwa watu wawili labda na wasaidizi wao.

Kwa kiongozi anayeliwazia mema na Taifa na kiongozi aliyefanya kazi kubwa ya mageuzi kwenye utumishi na mfumo wa serikali ikiwemo kupambana na ufisadi lazima akae ayapitie majalada yote nyeti nakutoa marlekezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

Lakini pia ipo hoja ya kuumwa, sidhani kama kukaa ofisini ukafanya kazi zako kumekatazwa kikatiba, hakuna sehemu katiba inamtaka Rais anatakiwa aonekane mara ngapi kwa wiki, mwezi au mwaka. Hivyo kukaa kwake kimya si kinyume Cha sheria.

Tatu Rais haendeshwi kwa matakwa ya watu flani wenye maslahi yao binafsi kwamba leo watamwambia ongea akaongea na kesho wakamwambia nyamaza akanyamaza. Rais ni mkuu wa nchi na hapaswi kuendeshwa na genge flani la watu. Hawa hawa mwaka jana walivumisha habari hizihizi lakini matokeo yalionekana. Tusipende kuibaka katiba kwa kuitumia vibaya au kuitafsiri tutakavyo.

Kama yupo mwenye ushahidi kwamba anaumwa aweke wazi na hapo ndipo zitaibuka hoja za kisheria na kikatiba na serikali itawajibika kujibu.

KUENDELEA KUMTAKA RAIS AJITOKEZE AACHE KAZI ALIZOKABIDHIWA NA SERIKALI NI UTOVU WA NIDHAMU DHIDI YA TAASISI HII NYETI. HATA AKIKAA MWAKA HAKUNA SEHEMU KATIBA INAMLAZIMU AJITOKEZE KUFANYA KAZI KWENYE MEDIA.

HONGERA SERIKALI KWA KUWEZA KUDHIBITI UPEPO WA WAHUNI WA MITANDAONI
Tulichonufaika wananchi ni kujua jinsi gani mitandao inatumiwa vibaya na kufifisha uaminifu wa kuaminiwa hawa waropokaji. Na uzuri wamejieleza wazi, Wengine walinjiwa nyumba ubungo kwa kutofuata sheria. Wengine walinyang'anywa sifa ya kuwa mawakili kwa,kosa la kukiuka masharti ya viapo vyao, wengine wamefungiwa kazi zao za uandishi kwa kukiuka maadili ya uandishi n.k. Sasa wanapambana na Rais badala ya vyombo vinavyosimamia maadili ya shughuli zao vilivyopo kisheria.
 
Back
Top Bottom