Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 752
- 182
Kibona,
Nadhani umejibana ktk wigo mdogo sana. kaangalie takwimu zinasema nini kuhusu miji hii na uingizaji wa fedha ya kigeni ukilinganisha na Dar
1. Mwanza
2. Arusha
3. Mbeya.
Kama sehemu inaigiza fedha nyingi za kigeni maana yake ndo mpango mkakati wa kukuza uchumi unatakiwa uanzie hapo (the center can be a strategic point to control inflations)! kwa ivo si kweli kwamba Dar pekee ndo muhimili wa uchumi tatizo ni kwamba wanasiasa wamegubikwa na umangimeza hadi kushindwa kutumia potentiality ya hizi sehemu nyinginezo. Matokeo yake wameaminisha watz kuwa Dar ndo muhimili pekee wa uchumi wa nchi!.
Nadhani umejibana ktk wigo mdogo sana. kaangalie takwimu zinasema nini kuhusu miji hii na uingizaji wa fedha ya kigeni ukilinganisha na Dar
1. Mwanza
2. Arusha
3. Mbeya.
Kama sehemu inaigiza fedha nyingi za kigeni maana yake ndo mpango mkakati wa kukuza uchumi unatakiwa uanzie hapo (the center can be a strategic point to control inflations)! kwa ivo si kweli kwamba Dar pekee ndo muhimili wa uchumi tatizo ni kwamba wanasiasa wamegubikwa na umangimeza hadi kushindwa kutumia potentiality ya hizi sehemu nyinginezo. Matokeo yake wameaminisha watz kuwa Dar ndo muhimili pekee wa uchumi wa nchi!.
Kulinganisha na dar ni kidogo mno. 80% ya mzunguko wa pesa Tanzania uko Dar, Na hata movement za watu kwenda na kurudi kwa siku ktk barabara za dar ni kubwa mno kulinganisha na barabara ya Mbeya-Tabora ambako hata mtu akiamua kukaa Makongolosi akahesabu magari yanayotumia njia hiyo kwa siku yanaweza yasifike hata 50. Kwahiyo japo kuna watu wanaathrika kibiashara na uzalishaji lakini haiwezi kufikia hasara inayotokana na jam za dar.