sheria mbaya kuwepo kila mtu anasema hata magamba wenyewe wanalalama kuwepo kwa sheria mbaya sasa kwanini tusizitoe mbaya na kuzisema kwa nguvu zote?Ni wewe tuu na CCM yenu hutaki hizo sheria mbay azitolewemkiamin kuwa siku moja zitawasadia.Bahati mzuri utambuzi wenu hautoshi kuwapa nafasi ya nyie kuzitumia hata vibaya tuuKwa hiyo Chadema mnachaguwa zile sheria zenye maslahi kwenu mnaziacha zile ambazo zinawabana kama za maandamano ndiyo mnapambana nazo. Lema anakuchuwa pesa ya mafuta wakati ajaendesha ilo gari la mbunge. Halafu anajitapa anataka kuwakomboa...
Hii masalia inaweza fanya watu wanyimwe haki zao za msingiIMEFUTWA....Neno la kudhalilisha
PAW
Mkuu nakubaliana na wewe,na ndo maana namwomba allah ccm idondoke haraka iwezekanavyo,kuna sheria na kanuni nyingi za kulinda mfumo wa dhuluma. Wabunge wengi wa ccm ni mzigo ndani ya bunge letu tukufu.
Kuna watu wanaleta utetezi kisiasa kwa kuzani kila mtu mwanasiasa, sasa hapa watakwamba hata hoja ya kukataa posho za wabunge itakwama, mantiki kuwe na malipo ya haki kama vile mishahara na sio posho wakati ujafanya kazi.
Posho kama ya mafuta wakati hakufanyakazi kwa miezi 8, sio sahihi
[/MENTION]Bado nataka unijuze uhalali wa kulipwa mshahara ambao hajaufanyia kazi kama zilivyo posho.VIKWAZO;5299760]Sawa lakini na sisi wananchi tuna haki ya kuhoji jinsi pesa yetu ya kodi inavyotumika, kumbuka LEMA ni sehemu tu ya wanaolipwa haya malipo yasiyo na msingi [ hapa naongelea posho na sio mshahara wake
Hiyo ni sheria ya kazi kwa ngazi zote tu. Kama alikuwa hayuko kazini tokana na maamuzi ya mahakama, na kisha mahakama ikatengua maamuzi ya awali anapaswa kulipwa pesa iliyokuwa halali yake kama mshahara.Bado nataka unijuze uhalali wa kulipwa mshahara ambao hajaufanyia kazi kama zilivyo posho.
Vikwazo,,jambo hili kwa bahati nzuri, limetokea kipindi kizuri, ambapo tunatoa maoni ya kuunda katiba yetu mpya!Ndicho ninachopinga, malipo kama haya hapana kama yapo yaondolewe, watu walipwe mishahara yao tu
Kwa sasa LEMA anaweza kukikataa hiyo pesa chafu, kisha kuweka shinikizo ili tuwe na sheria bora, hiyo ni kazi yake ya msingi kama mbunge,
Bora wewe umeliona ili suhala kwa mapana yake
Sawa lakini na sisi wananchi tuna haki ya kuhoji jinsi pesa yetu ya kodi inavyotumika, kumbuka LEMA ni sehemu tu ya wanaolipwa haya malipo yasiyo na msingi [ hapa naongelea posho na sio mshahara wake]