kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,223
- 1,670
MAHAKAMA kuu kanda ya Moshi imetoa
adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa
washtakiwa wawili raia wa Kenya katika kesi
ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi,
wakati wa tukio la uporaji wa fedha katika
benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani
Kilimanjaro. Mbali na hukumu hiyo
iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama
kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa,
nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi
hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye
amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka
mitano(5) jela kwa kosa la kuhifadhi na
kutorosha watuhumiwa wa mauaji ya askari
polisi.
GP
adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa
washtakiwa wawili raia wa Kenya katika kesi
ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi,
wakati wa tukio la uporaji wa fedha katika
benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani
Kilimanjaro. Mbali na hukumu hiyo
iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama
kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa,
nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi
hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye
amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka
mitano(5) jela kwa kosa la kuhifadhi na
kutorosha watuhumiwa wa mauaji ya askari
polisi.
GP