Jabman
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 1,005
- 1,339
Kama ilivyotangazwa kuwa wenye shahada wataajiriwa wenye GPAkuanzia 3.8 na kuendelea, ukweli napinga kwa sababu zifuatzo.
1.Grading inatofautiana chuo na chuo. MF: Vyuo vingine 75ni A wakati vingine ni B+.
2. Kuna vyuo wanafunzi wakifeli lecturer anawajibishwa hivyo lecturer hufanya fair ili alinde mkate wake wakati vyuo vinginel
kufaulisha sana lecturer anahojiwa
3. Hakuna syllabi zinazoelekeza. Kila chuo kinafundisha kitu kinachopenda kulingana na uwepo wa wakufunzi.
4. Kila chuo kinatunga mtihani wake kulingana na kilichofundisha.
5. Anayefundisha ndiye hutunga mtihani ndiye husahihisha na ndiye hutoa matokeo. Kama ulimkosea kidogo basis mwanafunzi umeliwa.
Kama serikali inataka kutumia kigezo hiki basi watkaoajiriwa in wachache hata walioajiriwa waondolewe wasio na 3.8. Naamini mawaziri wengi wataachia nafasi.
Naishauri serikali
1. Iweke viwango sawa vya ufaulu yaani grading.
2. I centralize mtihani. Yaani wahitimu wafanye mtihani mmoja wa taifa kwa vyuo vyote.
1.Grading inatofautiana chuo na chuo. MF: Vyuo vingine 75ni A wakati vingine ni B+.
2. Kuna vyuo wanafunzi wakifeli lecturer anawajibishwa hivyo lecturer hufanya fair ili alinde mkate wake wakati vyuo vinginel
kufaulisha sana lecturer anahojiwa
3. Hakuna syllabi zinazoelekeza. Kila chuo kinafundisha kitu kinachopenda kulingana na uwepo wa wakufunzi.
4. Kila chuo kinatunga mtihani wake kulingana na kilichofundisha.
5. Anayefundisha ndiye hutunga mtihani ndiye husahihisha na ndiye hutoa matokeo. Kama ulimkosea kidogo basis mwanafunzi umeliwa.
Kama serikali inataka kutumia kigezo hiki basi watkaoajiriwa in wachache hata walioajiriwa waondolewe wasio na 3.8. Naamini mawaziri wengi wataachia nafasi.
Naishauri serikali
1. Iweke viwango sawa vya ufaulu yaani grading.
2. I centralize mtihani. Yaani wahitimu wafanye mtihani mmoja wa taifa kwa vyuo vyote.