Napinga kuajiri kwa vigezo vya GPA.

Napinga kuajiri kwa vigezo vya GPA.

Wewe unae pinga GPA isiwe kigezo unadhani nini kiwe kigezo??? GPA hata kama inakokotolowa tofauti bado ni yardstick inayosaidia kupatikana mtu ambaye ni competent ukiongeza na vigezo vingine kama specialization, experience kwasababu imagine unapata applicants 60, wote wana degree sasa utatumia criteria zipi kuwachuja??? unataka ukabila ndo iwe kigezo???
 
Kwa utaratibu huo wanafunzi wa SUA watakuwa wachache labda waache kukaza kama enzi zile manake SUA upate 3.5 ni wa kutazamwa Mara mbili probation au kushikwa ni kitu cha kawaida
 
Kwa utaratibu huo wanafunzi wa SUA watakuwa wachache labda waache kukaza kama enzi zile manake SUA upate 3.5 ni wa kutazamwa Mara mbili probation au kushikwa ni kitu cha kawaida
3.8 si mchezo, labda kwenye course zao wenyewe. Course niliyosoma, kulikuwa na 4.2 moja plus 3.8 tatu tu.
 
Swala la GPA kama kwenye vyuo vikuu ni lazima liwe kigezo kwasababu hata kama kuna double standards kwenye kupata GPA nzuri i.e 3.5 or 3.8 and above haiwezekani miaka yote mitatu anayosoma degree et awe anapendelewa tu???. hata hivyo kuna baadhi ya waajiri wameajiri watu ambao hawana GPA au weledi sehemu ambazo GPA ndo kigezo ila kwa ujanja ujanja tu wameingia bila kuwa na sifa,kwahiyo binafsi naona GPA ni moja ya kigezo cha kuajiri kwakuwa ndo objective criteria ya kujua kuwa mubobezi ana uelewa wa juu alichokisomea. na hata ukitaka kuprove hili unaweza chukua mtu mwenye GPA 2.8 na mwenye 3.8 uone tofauti kiutendaji.
 
Gpa may be kigezo cha shortlisting. But not only the decicive criteria.Interview ndio msema kweli. Kigezo hiki cha gpa hutumika pale unahitaji wide applications na personal huujui uwezo wa yoyote kati yao.

Unless. Providing prospects waajiriwa fursa ya kuvolunteer inatoa fursa wa candidates kujaribiwa uwezo wao. Na mara nyingi wenye gpa kubwa hawajiwezi zaidi ya kukariri notes.
 
Hapa kuna makundi mawili. Moja halina na halina uhakika wa kupata GPA ya 3.8. Kundi jingine lina na lina uwezo wa kupata GPA ya 3.8.

Hapa vita haviishi!
 
Kwa utaratibu huo wanafunzi wa SUA watakuwa wachache labda waache kukaza kama enzi zile manake SUA upate 3.5 ni wa kutazamwa Mara mbili probation au kushikwa ni kitu cha kawaida
Kwa kweli hapo SUA watakuwa wamewatoa mchezoni kabisa.Japo wengine tulibahatika kupata juu ya hicho kigezo.Ki ukweli haina uhalisia wala tija yoyote ya utendaji na GPA kubwa
 
Gpa may be kigezo cha shortlisting. But not only the decicive criteria.Interview ndio msema kweli. Kigezo hiki cha gpa hutumika pale unahitaji wide applications na personal huujui uwezo wa yoyote kati yao.

Unless. Providing prospects waajiriwa fursa ya kuvolunteer inatoa fursa wa candidates kujaribiwa uwezo wao. Na mara nyingi wenye gpa kubwa hawajiwezi zaidi ya kukariri notes.
mkuu umeongea point kubwa sana ulipogusia volunteering. kwa kweli kuwaweka kwenye actual field ya kazi na kuwapima ndio utajua nani yuko competent zaidi ya mwingine coz wengine wana ufaulu wa kawaida ila unakuta wako vzuri practically kwenye kazi ila wengine wanaufaulu mkubwa ila kuapply walichosoma kwenye real life situation unakuta hawawezi . Big up to u kwa wazo zuri.
 
Kijana epuka kauli za kuzusha kwani hazina tija kwako wala kwa taifa.
 
Kama ni hivyo Basi sisi tuliomaliza UDSM wengi wetu hatutapata ajira hizo manake G.P.A zetu nyingi ni 2.8 hizo ajira tunawachia tumaini university.
 
wa udsm engineering itakuwa majanga kama ndo ivo wataajiriwa 2%
 
Back
Top Bottom