DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,064
- 45,695
Ubongo wa bataBwashee ukiwa CCM huwezi kujiua!
Ubongo wa bataBwashee ukiwa CCM huwezi kujiua!
🤣🤣walichofanya ACT wananikumbusha enzi za shule, mnaazimia kwa pamoja kugoma bt badae wenzenu wanajitoa mnabaki kuzagaa tu, hapa naona ngoma nzito imebaki kwa chadema.
Hilo la kujiondoa kwenye uongozi haiwezekani. Tuzungumze yanayowezekana.Utalii mnauharibu wenyewe halafu mnalaumu upinzani, jiondoeni kwenye uongozi kama mnategemea upinzani
Mbona huko cdm kuna maovu mengi sana bado unasubiri nini kutoka?Mtanzania Mzalendo mpinga uovu
soon taarifa itakuwa "kamati kuu cdm yawasamehe mdee na wenzake,waendelea na ubunge wao kama kawaida,erthrocyte azimia,Bak na bujibuji watoroka jamii forum "😂😂😂😂😂😂😂😂
mkuu uvumulie tu hizi ndio siasa za hapa tz , hamna namnaWanaweza kuamua hivyo, lakini wajue rasmi hatutajitokeza tena kupiga kura. Tulikuwa tunangoja tu juzi wakosee wawapitishe hao wabunge wahuni.
Ujinga walioufanya Act wazalendo ni wa kipumbafu sana , hawana sababu zozote za maana zaidi ya kuendekeza njaa , ndio maana midka yote Maalim Seif Sharifu Hamad anashinda anapigwa chini Kisha anapewa mpunga ananyamaza hizi habari zitakuwa za kweli kwa uamuzi huu wa kipuuzi .Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
EXACTLYNaamini unaanza kuelewa kuwa Mwanasiasa hayupo kwa Maslai ya Taifa au wananchi Bali wapo kwa ajili ya madaraka au Utawala tu
mkuu uvumulie tu hizi ndio siasa za hapa tz , hamna namna
Pole sana mkuu hizi ndio siasa usipate hasira sana,!Mbowe amekuzalisha akaacha kumtunza mtoto ?!.
Waache waoaneNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Mkuu tupowe wote. Pili naomba nitowe tawire kwako kama mkuu mwenzangu. Leo Mimi amepanda kichwani Bi kirembo. Nadhani utanielewa.Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Eleza kwa ku relax Mkuu tunakuelewa, wala usikaze saanaNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile .
Uchaguzi wa Zanzibar kama ulivyokuwa uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano ulighubikwa na uchafu wa kila aina , watu wamedhulumiwa ushindi , wametekwa , wameteswa na kuuawa , viongozi kadhaa wa ACT WAZALENDO akiwemo Maalim Seif , Ismail Jussa na Mazrui wamekamatwa na kuteswa vibaya sana , huku viongozi wengine kama Khamis Bakari wakifariki baada ya kujeruhiwa kwa risasi , nyumba kadhaa kisiwani Pemba zimeteketea kwa kupigwa mabomu huku vikongwe wakiumizwa bila hatia yoyote.
Walioyafanya haya wapo na wanafahamika na ndio hao hao wanaotaka ushirikiano kwenye serikali na ACT inakubali ? sababu ya kukubali ushirika huu ni zipi hasa ? maana ukikubali ujinga huu ni kwamba umeyakubali mauaji ya wazanzibar na mateso yao kwamba yalikuwa halali , nani atakuamini tena ?
Kwa vile mimi ni Mcha Mungu , Mpenda haki na mpinga uonevu , natangaza hadharani kupinga ACT kuingia kwenye SUK ili kujiepusha na dhambi ya kujitakia ya kushabikia mateso na mauaji ya kisiasa ya raia wasio na hatia yoyote , Nawatakia kila la heri na fanaka watakaoshiriki kwenye Uharamia huo
Mungu ibariki Zanzibar .
Nakala : Juma Duni Haji
Sasa kama ni wachumia tumbo, mbona mnafanya usajili huko na kuwagawia vyeo ?!. Angekuwa mchumia tumbo mngemharibia vitega uchumi vyake ?!.Pole sana mkuu hizi ndio siasa usipate hasira sana,!
Kila siku tunawaonya acheni kuweka matumaini yenu kwa wchumia tumbo hao, unaona sasa ulivyo na stress
Hawa watu nadhani hawajui wanapigania nini! Uchafuzi wote huo, leo wanaungana na wauaji wao kufanya kazi!
Hii michezo wewe bado mdogo sana kuielewa.Sasa kama ni wachumia tumbo, mbona mnafanya usajili huko na kuwagawia vyeo ?!. Angekuwa mchumia tumbo mngemharibia vitega uchumi vyake ?!.
Kama hujui Ccm ndiyo haiwezi kuwa hai nje ya madaraka. Ndiyo iliyojaza wanafiki na wachumia tumbo