Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,031
- 3,123
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu.
Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama
i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi
Yote kujiandaa na mechi yetu.
Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.
Nawasilisha.
Video inathibitisha
Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama
i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi
Yote kujiandaa na mechi yetu.
Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.
Nawasilisha.
Video inathibitisha