Napendekeza Yanga kukata Rufaa juu ya droo yao ya CAF

Lamzettttt

JF-Expert Member
May 28, 2020
1,031
3,123
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu.

Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama

i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi

Yote kujiandaa na mechi yetu.

Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.

Nawasilisha.

Video inathibitisha
 
Mimi kama shabiki wa yanga pia naomba viongozi wasikubali tukate rufaa
 
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu.

Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama

i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi

Yote kujiandaa na mechi yetu.

Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.

Nawasilisha.

Video inathibitisha
View attachment 2934204
Oruma
 
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu.

Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama

i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi

Yote kujiandaa na mechi yetu.

Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.

Nawasilisha.

Video inathibitisha
View attachment 2934204
Wanapiga mazoezi hata Tanesco wakiingilia shughuli yao hakibaki kitu😂😂
 
Hukuolona lile zoezi lao la kupiga vichwa mawe makubwa yaliyokuwa yanaangushwa kutoka golofani
 
Salaam Wakuu... mimi kama mwana yanga kindaki ndaki napendekeza yanga ikate rufaa kuhusu droo ya caf... sababu ni ugumu wa timu tuliopewa ukilinganisha na kikosi chetu.

Hili linakuja baada ya kuonena timu ya mamelod sundown ikiwa inafanya mazoezi kwa namna ya kipekee... kama

i. Kupiga pass huku wamefunga macho
ii. Mashuti chini ya maji.
iii. Kufanya mazoezi na wanajeshi

Yote kujiandaa na mechi yetu.

Sasa viongozi wangu wa yanga ili kulinda brand yetu na heshima naomba mukate rufaa mana tunaweza kuja kupigwa 10.. simba watucheke.

Nawasilisha.

Video inathibitisha
View attachment 2934204
mamelodi ina ugumu gani mwanainchi 🐒

usiamini ushirikina kwenye socar waje acha mpira uchezwe bana 🐒
 
Back
Top Bottom