Timu zinazoshiriki michuano ya CAF ina mabeki kama kina Inonga kuanzia wawili, hili yanga lazima tulitambue

Dec 23, 2021
56
227
Hili wananchi lazima tulielewe.

Ni kweli straiker wetu amekuwa tishio kubwa kwa vilabu vya ndani lakini tukirudi kimataifa bado naona kuna kazi ya ziada inatakiwa ifanyike Ili kufanya vizuri mashindano haya.

Mechi na Simba ilikuwa kipimo kizuri sana kwa yanga kuonyesha ni vipi wanaweza kupambana pindi wanapokutana na timu zinazofanya vizuri kwenye michuano ya CAF.

Lakini cha kuhuzunisha ni kuwa timu yetu ikiongozwa na straiker wetu tegemezi haikupiga short on target hata moja kweny timu yenye Inonga mmoja, je itaweza kufanya hivyo kweny timu yenye kina inonga wanne kwenye Ile Safu ya nyuma kama Al ahly, mamelod, tp mazembe.

Hapa napata wasiwasi kwakweli.
 
Mpira wa kukamia, ndivyo ulivyo.. Huyo Inonga utamuona kwenye hizo Derby kwakua walitishwa na Mayele, na wao akili yao yote ilikua Mayele asiifunge Simba,.. Kocha wa Yanga hakutumia hiyo chance ya kumtumia Makambo awe pacha na Mayele,.. Game ingeisha mapema sana
Yule kaze siku ile alichangia kuinyima Yanga ushindi!
 
Mpira wa kukamia, ndivyo ulivyo.. Huyo Inonga utamuona kwenye hizo Derby kwakua walitishwa na Mayele, na wao akili yao yote ilikua Mayele asiifunge Simba,.. Kocha wa Yanga hakutumia hiyo chance ya kumtumia Makambo awe pacha na Mayele,.. Game ingeisha mapema sana
Game iliyopita walikuwepo wote na hawajafanya kitu,
Inonga anakaba yeyote hata Lewandoski itakuwa huyo wa kawaida

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Sasa uyo inonga alisaidia nini mechi za ugenini mbona magoli yalikuwa yanapita Kama maji, wachezaji watatu wanamkamia mtu mmoja alafu unakuja kulinganisha ujinga apa
 
Huyo Inonga ni mkamiaji tu kama wakamiaji wengine walivyo na effect za kukamia huko mtaziona kwenye game za ligikuu kuanzia kesho.....Lazima awe na fatigue na atakuwa uchochoro
 
Huyo Inonga ni mkamiaji tu kama wakamiaji wengine walivyo na effect za kukamia huko mtaziona kwenye game za ligikuu kuanzia kesho.....Lazima awe na fatigue na atakuwa uchochoro
Mechi dhidi ya Mbeya cuty ndio yeye aliyeshindwa kukaba mpira mwisho wa siku Simba ikafungwa
 
Kinachonishangaza watu wamekalia caf, caf, kwani simba katokea wapi.

Au Yanga alicheza na Mbeya kwanza juzi.
 
Hili wananchi lazima tulielewe.

Ni kweli straiker wetu amekuwa tishio kubwa kwa vilabu vya ndani lakini tukirudi kimataifa bado naona Kuna kazi ya ziada inatakiw ifanyike Ili kufanya vizuri mashindano haya.

Mechi na Simba ilikuwa kipimo kizuri sana kwa yanga kuonyesha ni vipi wanaweza kupambana pindi wanapokutana na timu zinazofanya vizuri kweny michuano ya CAF.

Lakini Cha kuhuzunisha ni kuwa timu yetu ikiongozwa na straiker wetu tegemezi haikupiga short on target hata moja kweny timu yenye inonga mmoja, je itaweza kufanya hivo kweny timu yenye kina inonga wanne kwenye Ile Safu ya nyuma kama Al ahly, mamelod, tp mazembe.

Hapa napata wasiwasi kwakweli.
Mkuu ondoa matumaini yeyote kwa Yanga kufika mbali kwenye mashindano ya kimataifa. Yanga hata wawe na nani, kimataifa ni mavi tu, uchawi wao ni hapa hapaTanzania tu.
 
... Kocha wa Yanga hakutumia hiyo chance ya kumtumia Makambo awe pacha na Mayele,.. Game ingeisha mapema sana
Kwa hiyo Yanga walitakiwa wawe wachezaji 12 uwanjani? Unaposema Mayele acheze na Makambo, inabidi pia useme huyo Makambo achukue nafasi ya mchezaji gani aliyekuwamo kikosini, ili 'wachambuzi' wakuonyeshe zaidi madhara yake mengine. Mfano, useme wazi kuwa nafasi ya Feisal ilitakiwa acheze Makambo na Feisal awepo bench. Au Ntibanzokiza angekaa bench Makambo acheze. Au Khalid Aucho angekaa bench aanze Makambo. Hapo utakuwa umeutendea haki mjadala
 
Basi tutakuja kuchukua uchawi wenu wenye grade ya kimataifa
Wewe toka uzaliwe mpaka hapa ulikofika, ulishawahi kusikia ama kuona Yanga wamefanya maajabu kimataifa? Wapigwe ban tu wasiliwakilishe taifa letu, watatutia haibu kwa kweli.
 
shida ilikuja pale timu yangu pendwa ya yanga ilipoamua Kulazimisha mayele ashinde wakati Kulikuwa kuna uwezekano wa saidoo kushinda,na feisali na shabani jumaa ila timu tunayo strikers tunao tunaitaji marekebisho machache kwenye sehem zote za ulizi,kiungo na ushambuliaji
 
Mm ni shabik wa Soka, nataman sanaa msimu huu wa 2022/2023 YANGA ishiriki CAF club competion iwe CL au CC ili wachambuzi wa soka la bongo na wao wapate taste mpyaa ya kuwa vhambua wachezaji ....

Maana kwa misimu zaidi ya 3 wamekuwa wanachambua mechi za Simba sc tu,

Embu fikiria Hanga inakutana na Mamelody Sundown mchezo unaisha kwa suluhu, then pale e fm.unakutana na Geof Lea ana chambua 😆😆😆 au Jemedari said,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom