FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,205
- 40,928
Kwa wanaolewa topography nzima ya eneo la Rufiji basin, hii inawezekana?
Kwamba pana tofauti ya kutosha ya alltitude na reservoir area nyingine mbele ya bwawa la rufiji?
Inabidi tuwaze miaka 30 toka sasa tusije kurudi kwenye limgao la umeme, maana watu kama akina JPM ni nadra sana kuwapata, tushukuru tu Mungu kwa miaka michache aliyotutumikia, sasa tunafaidi matunda..., mgao bye bye, na tuhakikishe ile hali haijirudii
Kwamba pana tofauti ya kutosha ya alltitude na reservoir area nyingine mbele ya bwawa la rufiji?
Inabidi tuwaze miaka 30 toka sasa tusije kurudi kwenye limgao la umeme, maana watu kama akina JPM ni nadra sana kuwapata, tushukuru tu Mungu kwa miaka michache aliyotutumikia, sasa tunafaidi matunda..., mgao bye bye, na tuhakikishe ile hali haijirudii