Napendekeza rasmi jina la ufupisho la mama liwe SASHA

Sugar coating,

Wapigaji mpo vizuri sana kwenye hiyo sekta.
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
"SAMIA" inatosha sana!
 
Sasha? Jina la SSH limetosha huyo sasha hatumjui. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Du mara SSH mara SASHA mnatuvuruga

Kwa wale wenzangu wamafichoni tunaotumia G-Codes kudadavua mambo basi napendekeza aitwe SHISHI BABE

 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Siungi mkono mapendekezo: Sababu SASHA ni mtoto wa Obama itakuwa copy and paste.
Mapendekezo ya jina, iwe."SSHA" matamshi ni 'sha'.
 
Mwiteni jina alilopewa na wazazi wake.

Sasha ni katuni dizaini za kina Tom ana jerry
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
SASHA can make MATHA (Make Tanzania Happy Again)
Ila SASHA limekaa Kigalatia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.

"MIKUMI" tena .... Make Tanzania Happy Again - MATHA
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Au sisi wenye KITHEM ndio kabisa.
 
Back
Top Bottom