Upo sahihi, shida ni connection hatunaHII NCHI MTU YOYOTE ANAWEZA KUIONGOZA HATA PIERE LIQUID.
KAMA HUYU KILAZA AMEWEZA KUKAA IKULU BASI MTU YOYOTE ANAWEZA KUONGOZA.
Fanya wewe na familia yakokwani hiyo si biashara tu kama biiashara zingine
Mambo mengine kabla ya kupost uwe unashaurisha watu wanaokuzunguka.
Umeandika pumba tu hapa, Huyu hata ukatibu wa wizara hafai.
umetumwa? na pete mbilimbili mikono yote inaashiria nini
Kwangu Magufuli aongezewe walau miaka kumi ili amalizie hizi mega project mana zina manufaa mapana kwa Taifa letu
Ha...ha....ha...haRidhiwan ni presidential material