darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,893
- 4,023
Nakazia hiyo comment hapo juu.
Mleta mada jifunze ku balance shobo, unless utuambie Ridhi ndio kakutuma.
Mleta mada jifunze ku balance shobo, unless utuambie Ridhi ndio kakutuma.
Makonda tena! Yani unaruka mavi unakanyaga mkojo, hawa wachunga ng'ombe hatuwataki tena.Amefanya kitu gani cha maana.
Kwenye urais huko mbali hebu tumkague kwenye nafasi yake ya ubunge tu amefanya nini cha maana,kuna ushujaa gani wa maana alioufanya hadi wewe ushawishike kwamba anafaa urais...
Makonda tena!,Yani unaruka mavi unakanyaga mkojo,hawa wachunga ng'ombe hatuwataki tena.
Giggy money anafaa kuwa Rais na Bitoke kuwa makamu wake. Wazee imekaaje hiyo?Mpeni urais ambaruti.
Yuko vizuri mno yule binti. Ni msomi.
Atatufaa sana watanganyika.
Wizara mbali sana, wa Kata wenyewe hastahili asubiri kubebwa kwenye ubunge basiMambo mengine kabla ya kupost uwe unashaurisha watu wanaokuzunguka.
Umeandika pumba tu hapa, Huyu hata ukatibu wa wizara hafai.
Mbona Mwinyi amerithishwaMsomi wa nini?, hii nchi urais sio wa kurithishana kama usulutan, kamwambie tumekataa
Sikutaraji kwa ukimya wake atakuwa kiongozi positive namna ile. Huku bara tumepoteza tumaini, furaha na umoja wa kitaifa.Mbona Mwinyi amerithishwa
Huyo anafaa kuongoza kundi la watu wachache sana. Nadhani unajua kundi la watu haoAnatufaa Tundu Lissu
Hajamtuma, ila ameegamia upande wa kumpata Rais kinyume cha Magufuli. Akiamini dogo huyo Riz One anaweza kufuata nyayo za baba yake.Nakazia hiyo comment hapo juu.
Mleta mada jifunze ku balance shobo, unless utuambie Ridhi ndio kakutuma.
kwani hiyo si biashara tu kama biiashara zingineUnataka wote humu tuuze madawa ya kulevya
Na wewe sema atakufaa wewe, usiwasemee wengineSema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025
Naona Ridhiwani kakutuma uje umpigie kampeni. Ila ni kwambie si kwa serikali hii. Hatopewa nafasiSema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025
Kama huoni huo ni upeo wako mdogo unadhani Tanzania yote NI chalinze tu.Sema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025