Napenda wanawake wenye vitambi

Napenda wanawake wenye vitambi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuachee na vitambi vyetu
Tatizo lako ww kote upo, vimbaumbau umo na wenye vitambi umo, mabonge umo, sijui Wenye vinena nao umo pia?

Maana kuna siku nimekumbana na mama ana kinena kama tikiti! nena hilooooo khaaaa!
 
Tatizo lako ww kote upo, vimbaumbau umo na wenye vitambi umo, mabonge umo, sijui Wenye vinena nao umo pia?

Maana kuna siku nimekumbana na mama ana kinena kama tikiti! nena hilooooo khaaaa!
Hicho cha kinena sio cha kuuliza mbalizi
 
Hakiyanani tena we tuma tu pm yangu sijui hata inafungwaje ipo wazi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] picha ya nini sasa unataka niitume
 
Hahaaaa. Labda ndio atapambana naye tu mpaka kieleweke.

Aaah hapo kwenye kupambana itakua mwanzo wakishazoeana inakua kero sasa. Unajua sisi wanaume yani kama mwanamke hajiongezi kuleta manjonjo tunakifu mapema sana. Kama niko nae kitambi mbwi nitajitahidi tukipunguze aidha kwa mazoezi au kwa namna yoyote yote ile.

Rafiki we mzima.? Kitambo sana
 
Aaah hapo kwenye kupambana itakua mwanzo wakishazoeana inakua kero sasa. Unajua sisi wanaume yani kama mwanamke hajiongezi kuleta manjonjo tunakifu mapema sana. Kama niko nae kitambi mbwi nitajitahidi tukipunguze aidha kwa mazoezi au kwa namna yoyote yote ile.

Rafiki we mzima.? Kitambo sana
Hahahaaa. Ndio hivyo rafiki kipenda roho hicho.

Mie mzima sana tu rafiki yangu. Kitambo sana yaani. Naona hata yale maeneo hupiti siku hizi.

Niaje lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom