Chinsali
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 1,012
- 1,581
kweli mkuu maana watu wa namna hyo nawaza ntamuanza vipi ,mkiwa sita kwa sita lazima akutoe jasho bora nikomae na hawa hawa.Pambana tu mkuu na hali yako![]()
kweli mkuu maana watu wa namna hyo nawaza ntamuanza vipi ,mkiwa sita kwa sita lazima akutoe jasho bora nikomae na hawa hawa.Pambana tu mkuu na hali yako![]()
kweli mkuu maana watu wa namna hyo nawaza ntamuanza vipi ,mkiwa sita kwa sita lazima akutoe jasho bora nikomae na hawa hawa.




kitambi anakipata akiwa kwako, labda awe na mwili wahivyo hivyo, unazani wanatoka kwaoni vitambi wanavipatia kwa waume zao 




Mzee inaonekana unapenda vibonge Kama type ya Asha boko au Liyamaanatoka kitambi akiwa kwako utamuacha? Kuna wengine anakuwa mwembamba sababu ya maisha tu muoe uone anavyofutuka
mkiongozana kama kaka na dada au kama si mama na mwanaye





mmmh acha nikomae na wasaizi ya kati ,watu wa vitambi gari mpaka likolee mwendo siyo Leo.




Mzee inaonekana unapenda vibonge Kama type ya Asha boko au Liyama![]()




duu😂😂😂😂😂Nimetokea kupenda kufanya mapenzi na wanawake wenye matumbo makubwa(vitambi).
Sio siri wanawake wa aina hii wana joto sana yaani ukiwa unashika shika nyama za tumbo mzuka unapanda fasta.
Dada uliye na kitambi usijihi kutengwa njoo kwangu(PM)mie nawapenda sana mna radha adimu.