Ama kweli wewe ni Kiritimba sana!!!!!!Wanawake wengi siku hizi wana tabia ya kuvaa mavazi ambayo yana display mgongo na matiti. Sasa mi nikiona migongo mikubwa ya wanawake inang'ara halafu ipo wazi basi mi nakuwa hoi.
Wanawake mtaniua jamani.
Kwani lazima uwatazame.............!? Wewe sema tu una lako jambo...!
Una UH++ (uhanga)??
Wanawake wengi siku hizi wana tabia ya kuvaa mavazi ambayo yana display mgongo na matiti. Sasa mi nikiona migongo mikubwa ya wanawake inang'ara halafu ipo wazi basi mi nakuwa hoi.
Wanawake mtaniua jamani.
Generiizasheni ya namna hii itakufanya uwe hoi hata kwa dada/mama yako.
Sasa mbona umeandika ili nisielewe?
thanks alot.Generiizasheni ya namna hii itakufanya uwe hoi hata kwa dada/mama yako.
Usiende mbali hivyo kiongozi.Generiizasheni ya namna hii itakufanya uwe hoi hata kwa dada/mama yako.
Wanawake wengi siku hizi wana tabia ya kuvaa mavazi ambayo yana display mgongo na matiti. Sasa mi nikiona migongo mikubwa ya wanawake inang'ara halafu ipo wazi basi mi nakuwa hoi.
Wanawake mtaniua jamani.