Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
No evidence No right to speak


Jaribu hata ku Google kama kupitia makala na vitabu umeshindwa mkuu
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
No evidence No right to speak


Jaribu hata ku Google kama kupitia makala na vitabu umeshindwa mkuu
 
mimi ni mvaaji mzuri wa kistaarabu kama madera bila kuyabana na mitandio ,baibui na napenda sana
ni mkristo pia
hayo ni mavazi tu ..yoyote anaweza kuvaa
Vazi la kiislamu sio Dera.


Hilo ni second edition baada ya kuwianisha bt ukweli utabaki kuwa hijabu ni hijabu Na Dera ni Dera by the way kuna Hijabu pia ziczo Na vigezo vya hijabu

next time itabidi tuaandae Uzi wa Hijabu bora
 
Ata Mimi nawapenda japokua unaweza muudumia manzi ako,mtindo wa nywele wa 50000 au 100000 lakin usionekane mtaani,duh kipesa icho kina uma jamani
 
Mwanamke yeyote anayejipenda na kujistiri anapendeza si lazima avae gunia kichwani. Mbona hawa wanawake wa kwetu wanapendeza Zaidi na si waislam?
9f6af3acf65aa4805dc7957026034273.jpg
2012-10-20_030.jpg
tumblr_luszrnwwza1qc3j1s.jpg
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.

Upuuzi huu mkuu kama Hujui jambo uwe unaomba kuelimishwa

Swala la Mavazi Uislam ndo ulofundisha na si Utamaduni kama unavyo dhani
Dalili ni hii

Ewe Nabii! Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

يا أيها النبي قل لأزواجك وبناتك ونساء المؤمنين يدنين عليهن من جلابيبهن ۚ ذلك أدنى أن يعرفن فلا يؤذين ۗ وكان الله غفورا رحيما

[Quran 33:59]



Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa.

وقل للمؤمنات يغضضن من أبصارهن ويحفظن فروجهن ولا يبدين زينتهن إلا ما ظهر منها ۖ وليضربن بخمرهن على جيوبهن ۖ ولا يبدين زينتهن إلا لبعولتهن أو آبائهن أو آباء بعولتهن أو أبنائهن أو أبناء بعولتهن أو إخوانهن أو بني إخوانهن أو بني أخواتهن أو نسائهن أو ما ملكت أيمانهن أو التابعين غير أولي الإربة من الرجال أو الطفل الذين لم يظهروا على عورات النساء ۖ ولا يضربن بأرجلهن ليعلم ما يخفين من زينتهن ۚ وتوبوا إلى الله جميعا أيه المؤمنون لعلكم تفلحون

[Quran 24:31]
 
1816a1c94a894c8af1b9a72d645d0cd7.jpg


Tukiachilia Mbali Propaganda zilizojengwa juu ya Ugaid na Matukio ya Baadhi ya wanaojiita Waislam ilhali Uislam uko mbali na matendo yao

Ktk swala la Mavazi Uislam Umemtukuza Sana Mwanamke na kumfanya Awe ni Mtu Special Tena Adim kbs
Na lau ka si Wamagharibi Kuamua Kuwavua Nguo Wanawake na kuwageuza Chombo cha Starehe basi leo kusingekuwepo na haya Maradhi ya Ukimwi

Na Hilo ndo vazi la Mwanamke wa Kiislam achilia hao mnaowasifia Nyie wenye Uislam mambo leo
 
Ata mim napenda sana sometimes navaa hivyo mfululizo mpaka naulizwa kama nimebadli dini
 
Kujisitiri maana yake nini????.Kujisitiri kwa tafsiri sahihi ni kuvaa nguo kukinga uchi usionekane.Sasa unafunika kichwa na kisogo na uso unabaki wazi ina maana sasa nyuchi( sehemu za siri)zinahama kule chini kwenda kichwani? Vazi la hijabu asili yake yake ni Uarabuni na chanzo chake ni wivu uliopitiliza wa Kiarabu kuamuru mwanamke ajifiche ndani ya hijabu ili wanaume wasimtamani.Tena hijabu lenyewe ni kaniki rangi mbaya ya nguo kuliko rangi zote.Mungu alimuumba Adam na Hawa bila nguo kwa hiyo hijabu sio mpango wa Mungu bali ni utamaduni wa Kiarabu wenye lengo la kumficha uso mwanamke ili asitamaniwe na wengine.Kwa hiyo anaesifia vaazi hilo sio vibaya kwa sababu katika nyakati hizi za utandawazi watu wanaiga mitindo ya uvaaji wa mataifa mbalimbali duniani.
 
80 Reactions
Reply
Back
Top Bottom