Napenda mwanaume mwenye gari

Napenda mwanaume mwenye gari

Yani hako ka njemba kwenye picha kalivyo waunga tela usishange kakiwa kakubwa kuwapanga hivyo hivyohii picha inamaana kubwa sana katika ulimwengu wa roho: ni maandalizi ya maisha ya baadae
😅😅😅jamani ushaona mbali mkuu
 
Mimi nadhani sasa hivi wabadilike, wampende mwenye nyumba tena nyumba nzuri...

Kwa Bati Nzuri nipigie 0658339930
 
Yani hako ka njemba kwenye picha kalivyo waunga tela usishange kakiwa kakubwa kuwapanga hivyo hivyohii picha inamaana kubwa sana katika ulimwengu wa roho: ni maandalizi ya maisha ya baadae
Umeona eee
Amina kubwaaaa🏃🏃🏃
 
Huwa naenda zangu kununua mafuta sheli basi wadada wanafikir nina gari na ukizingatia nina kaufunguo kangu nakazungusha zungusha kwenye shahada kanapiga piga kelele...Ila hawajui tu huo ufunguo ni wa ghetto langu na mafuta yenyewe ni ya generator fulani hivi....Hapa nasubir mmoja ajichanganye nimtembezee moto
Aisee, hongera sana
 
Back
Top Bottom