jocky187 New Member Joined Feb 9, 2026 Posts 3 Reaction score 6 Feb 12, 2026 #1 Mwenye gari za transit kuenda Maamba✅ Lusaka ✅ Naomba tuonge 0620411256
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,935 Reaction score 15,651 Feb 12, 2026 #2 Wewe dereva , utingo, mfanyabiashara au nani?
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,593 Reaction score 112,760 Feb 12, 2026 #3 Unalipaje mkuu na inabeba mzigo gani? Ungeweka maelezo zaidi kidogo ili kupunguza simu nyingi. Gari zimekuwa changamoto sana kwasasa.
Unalipaje mkuu na inabeba mzigo gani? Ungeweka maelezo zaidi kidogo ili kupunguza simu nyingi. Gari zimekuwa changamoto sana kwasasa.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 174,520 Reaction score 192,387 Feb 12, 2026 #4 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw
D DALALI MKUU JF-Expert Member Joined May 7, 2022 Posts 2,511 Reaction score 5,924 Feb 16, 2026 #5 @HAYA LAND HOV
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 21,167 Reaction score 42,893 Feb 16, 2026 #6 Sema ni agent una mizigo ya kutoka daslm kuja Lusaka na unalipaje ndio tuongee sio tuje kuongea tu na aina ya mizigo pia..
Sema ni agent una mizigo ya kutoka daslm kuja Lusaka na unalipaje ndio tuongee sio tuje kuongea tu na aina ya mizigo pia..
Pepe Madochi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 341 Reaction score 366 Feb 16, 2026 #7 Ngoja transporter waje