jocky187 New Member Joined Feb 9, 2026 Posts 3 Reaction score 6 Feb 12, 2026 #1 Mwenye gari za transit kuenda Maamba✅ Lusaka ✅ Naomba tuonge 0620411256
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,935 Reaction score 15,608 Feb 12, 2026 #2 Wewe dereva , utingo, mfanyabiashara au nani?
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,243 Reaction score 112,034 Feb 12, 2026 #3 Unalipaje mkuu na inabeba mzigo gani? Ungeweka maelezo zaidi kidogo ili kupunguza simu nyingi. Gari zimekuwa changamoto sana kwasasa.
Unalipaje mkuu na inabeba mzigo gani? Ungeweka maelezo zaidi kidogo ili kupunguza simu nyingi. Gari zimekuwa changamoto sana kwasasa.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 169,623 Reaction score 187,625 Feb 12, 2026 #4 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw
D DALALI MKUU JF-Expert Member Joined May 7, 2022 Posts 2,462 Reaction score 5,800 Feb 16, 2026 #5 @HAYA LAND HOV
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,702 Reaction score 41,579 Feb 16, 2026 #6 Sema ni agent una mizigo ya kutoka daslm kuja Lusaka na unalipaje ndio tuongee sio tuje kuongea tu na aina ya mizigo pia..
Sema ni agent una mizigo ya kutoka daslm kuja Lusaka na unalipaje ndio tuongee sio tuje kuongea tu na aina ya mizigo pia..
Pepe Madochi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 341 Reaction score 364 Feb 16, 2026 #7 Ngoja transporter waje